Kumbe mji siyo mzito, walimwengu ndo wazito

Kumbe mji siyo mzito, walimwengu ndo wazito

Ngoja nikwambie kipindi anakamata ( maana sasa hivi kafulia) hela za huyu dyadya zilipokuwa zinaishia

1 . Waganga wa kienyeji

2. Kutunza majukwaani ( yaan yy kummwagia mihela dansa, or mwanamuziki 3m ilikuwa ni ishu ndogo)

3.kuhonga ( kuanzia kipindi kile ana ck akawa anamuhonga Domo,na vibenten

4. Kuvaa ,( na hataki kurudia nguo, viatu, pochi na dhahabu

5. Kampani ( akizurura na genge lake yy ndo mlipa bili

Nitaendelea...



Sent using Jamii Forums mobile app
Kuuuumbeeee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ila diet inataka moyo ukiiacha mwili huo unarudi. Open kitchen kajitahidi ila namuona bado mnene
 
Mzigua kasema anadanga kwa wazungu....ngoja nimfoloo[emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app

Mbona danga lake ni la ki nigeria halitaki maunene kajikondesha kachosha anaoneka kama amejikomaza na kujiharibu kutaka weupe mmmh kachukiza kwakweli ukimfananisha alikuwa zamani
Ukimfollow ameweka private na ha accept friend request nilidoda miezi kibao mlangoni
Namuonea huruma Mihayo kutoka marekani na kudandia dada wa mjini yule kaka anajuta mpaka anaingia kaburini
 
Analenga wazungu gani hao kwani hawamuoni sura ilivyo komaa?[emoji134][emoji134]

Sipati picha alivyojikondesha na hata hakuwa mzuri khaaa!

Si anaishi mbezi beach yule?

Sent using Jamii Forums mobile app

Ndio ile nyumba ameing’ang’ania ya mumewe yule kaka mpaka kesho ile nyumba inamuumiza unajuwa ile umepata pesa mingi ukajenga nyumba ya ndoto yako halafu gubegube la mjini akaivuta kiulaiiiiiini mzozo wake ulikuwa si wa nchi hii ila yameisha bidada kupitia mgongo wa watoto kabaki na mjengo
 
Back
Top Bottom