Mzigua90
JF-Expert Member
- Sep 23, 2014
- 38,342
- 88,625
Badala utafute watoto wazuri kina Kimnana unataka kuhangaika na Diana keshachuja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Badala utafute watoto wazuri kina Kimnana unataka kuhangaika na Diana keshachuja
Vera anasubiri chief
Ndo hivyo wakiendekeza misosi wanafutukamo tena
Mdada hana akili ya maisha, km kutoka angeshatoka kitambo sana lkn sasa hv ht kistuli pmj na kukaa jela bado kinamzidi.
Sent using Jamii Forums mobile app[/QUOTE
Kistuli ana akili sana yule mchaga
Si anatuona sisi hatuna akili ndio maana akaona atudanganyeKwhy ndio atazaa sasa?
Mbona wanaotolewa uvimbe huwa hawapungui km yy. Awadanganye team yake tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo huyoo
Mwanaume mwingine anakuua aki vile..Ndio ile nyumba ameing’ang’ania ya mumewe yule kaka mpaka kesho ile nyumba inamuumiza unajuwa ile umepata pesa mingi ukajenga nyumba ya ndoto yako halafu gubegube la mjini akaivuta kiulaiiiiiini mzozo wake ulikuwa si wa nchi hii ila yameisha bidada kupitia mgongo wa watoto kabaki na mjengo
Mi nimerequest since hiyo juzi naona kimyaa[emoji16][emoji16]Mbona danga lake ni la ki nigeria halitaki maunene kajikondesha kachosha anaoneka kama amejikomaza na kujiharibu kutaka weupe mmmh kachukiza kwakweli ukimfananisha alikuwa zamani
Ukimfollow ameweka private na ha accept friend request nilidoda miezi kibao mlangoni
Namuonea huruma Mihayo kutoka marekani na kudandia dada wa mjini yule kaka anajuta mpaka anaingia kaburini
Little sweet sio yake ni ya dada yake yule NuruHizo hela za kukata utumbo sijui alizipata wapi yaan....maana dyadya kafulia mbayaaa!
Mtaji wenyewe wa little sweet alichangiwa pia kidogo na domo
Sent using Jamii Forums mobile app
Da mange alitoaga siri mbona kabla Swithat hajarudi kutoka India kwamba alienda kutolewa ili atangazie biashara hiyo hospital. alipewa offer yani
Hivi ukiukata utumbo utanenepaje tena?[emoji44]
Maana alichokifanya kaukata ili akila kidogo ashibe, yaaani maana ni kuwa alikuwa mlafi kujizuia kula hawezi, that's y akakatwa!
Hainaga kunenepa tena hiyo, still bado ina madhara huko mbeleni!
Maisha hayaa[emoji134]
Sent using Jamii Forums mobile app
Aliulizwa ile tatoo aliyochora inaashiria wako karibu akasema hapanaEeh wanagegedana msemo wa wa kiJf, hahahaha
kwa hili nilimuamini kabisa
Alisema haifuti hata aolewe yeye au aolewe Wema.Aliulizwa ile tatoo aliyochora inaashiria wako karibu akasema hapana
Sent using Jamii Forums mobile app