Kumbe mji siyo mzito, walimwengu ndo wazito

Kumbe mji siyo mzito, walimwengu ndo wazito

Ndio ile nyumba ameing’ang’ania ya mumewe yule kaka mpaka kesho ile nyumba inamuumiza unajuwa ile umepata pesa mingi ukajenga nyumba ya ndoto yako halafu gubegube la mjini akaivuta kiulaiiiiiini mzozo wake ulikuwa si wa nchi hii ila yameisha bidada kupitia mgongo wa watoto kabaki na mjengo
Mwanaume mwingine anakuua aki vile..

Labda kamfunga na madawa[emoji87]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona danga lake ni la ki nigeria halitaki maunene kajikondesha kachosha anaoneka kama amejikomaza na kujiharibu kutaka weupe mmmh kachukiza kwakweli ukimfananisha alikuwa zamani
Ukimfollow ameweka private na ha accept friend request nilidoda miezi kibao mlangoni
Namuonea huruma Mihayo kutoka marekani na kudandia dada wa mjini yule kaka anajuta mpaka anaingia kaburini
Mi nimerequest since hiyo juzi naona kimyaa[emoji16][emoji16]

Kumbe mkaka alitoka kwa Trump? Sasa mbona mshamba hivoo anaparamia Malaya wa mjini[emoji134][emoji134]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom