Scorpio Me
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 6,119
- 7,934
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]wazungu awapate wapi na kukoboka alivokoboka kama usemavyo??
Kawa kama vera ama?kakoboka kwa sindano. kwanin ukimuona unadhani utajua alikuaga mweuis? Yani mweupe mweupe kweli
KuuuumbeeeeNgoja nikwambie kipindi anakamata ( maana sasa hivi kafulia) hela za huyu dyadya zilipokuwa zinaishia
1 . Waganga wa kienyeji
2. Kutunza majukwaani ( yaan yy kummwagia mihela dansa, or mwanamuziki 3m ilikuwa ni ishu ndogo)
3.kuhonga ( kuanzia kipindi kile ana ck akawa anamuhonga Domo,na vibenten
4. Kuvaa ,( na hataki kurudia nguo, viatu, pochi na dhahabu
5. Kampani ( akizurura na genge lake yy ndo mlipa bili
Nitaendelea...
Sent using Jamii Forums mobile app
"Ukijipenda utapendwa" nimependa hapoMi nafanyaga kila kitu kwa ajili ya kufurahisha nafsi yangu sio hao mafisi!
Gym naenda kwa kuwa nafsi yangu imenituma hivyo na nafurahia but sio kwa ajili sijui ya nani huo mda sina...ukijipenda utapendwa
Sent using Jamii Forums mobile app
hapo sasa hahaha mwendo wa kuvurugwa
Nataka nimuone nacky insta nimesahau username yake...daah![emoji134][emoji134][emoji134][emoji56]
Anajiita Nackita.... Yupo private. Kamfollow. Kajiparura Weupe wa Wacko unasubiri... sijui anatafuta nini na umri ule.
Mzigua kasema anadanga kwa wazungu....ngoja nimfoloo[emoji1787]Anajiita Nackita.... Yupo private. Kamfollow. Kajiparura Weupe wa Wacko unasubiri... sijui anatafuta nini na umri ule.
Sent using Jamii Forums mobile app
Itakuwa zile safari za South kwa yule Dada yake JNR zina walakini...kuna kipindi Dada wa Taifa aliandikaga kwenye blog yake enzi ya U Turn... kuwa Nacky ushoga na Mwam kaufosi mno... hadi alikuwa analia.
Haaaahaaaa eti alikuwa analia[emoji16][emoji16]Itakuwa zile safari za South kwa yule Dada yake JNR zina walakini...kuna kipindi Dada wa Taifa aliandikaga kwenye blog yake enzi ya U Turn... kuwa Nacky ushoga na Mwam kaufosi mno... hadi alikuwa analia.
Sent using Jamii Forums mobile app
D fundi kabisa. kuanzia yuke form one sijui two anafanya huo mchezo. Ila bongo movie ndio kumemuharibu. unaambiwa na kitandani si haba game lake
Analenga wazungu gani hao kwani hawamuoni sura ilivyo komaa?[emoji134][emoji134]
Sipati picha alivyojikondesha na hata hakuwa mzuri khaaa!
Si anaishi mbezi beach yule?
Sent using Jamii Forums mobile app