Kumbe mji siyo mzito, walimwengu ndo wazito

Duuhh ... sepenga kitu anakula muda mrefu sana hajaanza jana wala leo " wadau wanasema hata kupyenga pia anapyenga kitambo tu

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha Duh...kupyenga tena? Halafu watu unakuta wanawapapatikia tu kama wameona nini sijui...kumbe wahuni wanamdoromesha tu na kumzibua.

All weather road. Mungu atunusuru wallah. Rangi zote zitaonekana sasa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ila hako katoto kanakokulana na dada mbona siku nyingi tu kanakoboana. kuna bwana wao mmoja bongo movie anakaa tabata alikuaga ananipa story za hako kaD kanavyowafirigisa wanawake wenzie. na hiyo ni 2014.
cha mjamaica sio story anatumia mudaaaaa. sema anenepe kidpgo jamani amekua kama kuku kinyonyofu
 
Hahahahah waja jamani taratibu dah...eti kuku kinyonyofu.........mnatuua mbavu wazee wenu
 
Kwenye RADA namuona Baba Nillan kasimama kama Number One Song.
Namuona ex. Big Brother Africa kasimama kama Weed affiliate.
Huyu mwingine screen inacheza simuoni vizuri.
 
Huo mlupo wiki iliyopita nimekutana nae kumbe ningekatafuna tu mana kalikua na kuwadi mmoja ar
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahaha Duh...kupyenga tena? Halafu watu unakuta wanawapapatikia tu kama wameona nini sijui...kumbe wahuni wanamdoromesha tu na kumzibua.

All weather road. Mungu atunusuru wallah. Rangi zote zitaonekana sasa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Yeah ndio iko hivyo chief ' wanao wapapatikia ni mijitu isiyojielewa kama wao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…