hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 45,678
- 63,304
Yaani ijapokuwa mnatumia fake ids lakini bado hamko huru kuwa taja watu majina duh!
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahahaYaani ijapokuwa mnatumia fake ids lakini bado hamko huru kuwa taja watu majina duh!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha Duh...kupyenga tena? Halafu watu unakuta wanawapapatikia tu kama wameona nini sijui...kumbe wahuni wanamdoromesha tu na kumzibua.Duuhh ... sepenga kitu anakula muda mrefu sana hajaanza jana wala leo " wadau wanasema hata kupyenga pia anapyenga kitambo tu
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23]enzi zile shangazi ndo shosti ake walikuwa wanasema hivihivi wakakanusha.
Mbona kesha tajwa maa,anaitwa diana kimaroHuyo anayekoboana nae ni naniii sipendi code mm Numbisa ebu ukuje hapa
Nilikua sijasoma comments hivi Diana si mpaka alimchora tatoo ya jina lake
Fafanua hapo mwisho?Sepenga nshawahi kula nae kitu kule ununio beach, mama cookie nae anajulikana wazi kua ni memba wa LGBT
Sent using Jamii Forums mobile app
LGBT = Konki lists
ila hako katoto kanakokulana na dada mbona siku nyingi tu kanakoboana. kuna bwana wao mmoja bongo movie anakaa tabata alikuaga ananipa story za hako kaD kanavyowafirigisa wanawake wenzie. na hiyo ni 2014.
cha mjamaica sio story anatumia mudaaaaa. sema anenepe kidpgo jamani amekua kama kuku kinyonyofu
Ewaaaa!!hiyo tattoo ndo imekoleza moto ya kuwa switihati anamkoboa dianaNilikua sijasoma comments hivi Diana si mpaka alimchora tatoo ya jina lake
Yeah ndio iko hivyo chief ' wanao wapapatikia ni mijitu isiyojielewa kama waoHahaha Duh...kupyenga tena? Halafu watu unakuta wanawapapatikia tu kama wameona nini sijui...kumbe wahuni wanamdoromesha tu na kumzibua.
All weather road. Mungu atunusuru wallah. Rangi zote zitaonekana sasa.
Sent using Jamii Forums mobile app