Jomoni...anaharibu watoto wa watu yule!
Mdogo wake ma ubaya?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji134][emoji134]
Kimoja wapo ama vyote.
kuwadi wa Ar yule dada anaenyoa kipara au yupi?Huo mlupo wiki iliyopita nimekutana nae kumbe ningekatafuna tu mana kalikua na kuwadi mmoja ar
Sent using Jamii Forums mobile app
kasema alikua na uvimbe tumboni ulokua unasababisha asipate mtoto na pia huo uvimbe ndio uliokua unasabaisha anenepe sana. baada ya kutolewa uvimbe ndio akanenepa (ila sisi tunajua ni uongo)
D ndo anamkoboa swithat bwana. Swithat yeye huwa ni mwanamkeEwaaaa!!hiyo tattoo ndo imekoleza moto ya kuwa switihati anamkoboa diana
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukweli ni upi shost?kasema alikua na uvimbe tumboni ulokua unasababisha asipate mtoto na pia huo uvimbe ndio uliokua unasabaisha anenepe sana. baada ya kutolewa uvimbe ndio akanenepa (ila sisi tunajua ni uongo)
D kakaa kilesb. kabisa, inaonyesha mzoefuD ndo anamkoboa swithat bwana. Swithat yeye huwa ni mwanamke
kaenda kukata utumbo India kama alivyofanyaga Mustapha Hassanal
D fundi kabisa. kuanzia yuke form one sijui two anafanya huo mchezo. Ila bongo movie ndio kumemuharibu. unaambiwa na kitandani si haba game lake
Hizo hela za kukata utumbo sijui alizipata wapi yaan....maana dyadya kafulia mbayaaa!kaenda kukata utumbo India kama alivyofanyaga Mustapha Hassanal
Weee anavunja chaga za vitanda kama mbibi Madonna?D fundi kabisa. kuanzia yuke form one sijui two anafanya huo mchezo. Ila bongo movie ndio kumemuharibu. unaambiwa na kitandani si haba game lake
Da mange alitoaga siri mbona kabla Swithat hajarudi kutoka India kwamba alienda kutolewa ili atangazie biashara hiyo hospital. alipewa offer yaniHizo hela sijui alizipata wapi yaan....maana dyadya kafulia mbayaaa!
Mtaji wenyewe wa little sweet alichangiwa pia kidogo na domo
Sent using Jamii Forums mobile app