Mzigua90
JF-Expert Member
- Sep 23, 2014
- 38,342
- 88,625
hatari kabisa yaniiWeee anavunja chaga za vitanda kama mbibi Madonna?
[emoji1787][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hatari kabisa yaniiWeee anavunja chaga za vitanda kama mbibi Madonna?
[emoji1787][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Upo best umepotea siku hizi jamani au ndo kama mie mambo yamebanaaa
Hivooo? Basi hii ilinipita kwa Mange!Da mange alitoaga siri mbona kabla Swithat hajarudi kutoka India kwamba alienda kutolewa ili atangazie biashara hiyo hospital. alipewa offer yani
eeeh aliwekaga mwaya. Duka liko wapi kwanza?Hivooo? Basi hii ilinipita kwa Mange!
Nilitaka nishangae hela alikozipata[emoji44][emoji44][emoji44]
Hilo duka kumejazana mapungaa tu, no wateja at all
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukweli usemwe, yaan sasa hivi hapendezi hata kwa bakora[emoji44][emoji44]....ni mara mia angebaki na unene wake!Da mange alitoaga siri mbona kabla Swithat hajarudi kutoka India kwamba alienda kutolewa ili atangazie biashara hiyo hospital. alipewa offer yani
Komakoma, M' nyamala, naendaga hapo!eeeh aliwekaga mwaya. Duka liko wapi kwanza?
amekua sio mzuri tena na hata akivaa hapendezi. annenepe kidunchu tu nguo zimkae. Yani yeye na Uwoya bonge bado Uwoya kampita mbaaaali kule kwenye kupendezaUkweli usemwe, yaan sasa hivi hapendezi hata kwa bakora[emoji44][emoji44]....ni mara mia angebaki na unene wake!
After all hakuwa mnene wa kutisha, yy angeenda zake gym na kula kidogo basi!
Sasa hivi kawa kama kuku aliyenyonyolewa nywele shingoni, hapendezi hataa
Sent using Jamii Forums mobile app
Unene wa kupunguzwa na madawa au ugonjwa huwezi kupendeza kamweUkweli usemwe, yaan sasa hivi hapendezi hata kwa bakora[emoji44][emoji44]....ni mara mia angebaki na unene wake!
After all hakuwa mnene wa kutisha, yy angeenda zake gym na kula kidogo basi!
Sasa hivi kawa kama kuku aliyenyonyolewa nywele shingoni, hapendezi hataa
Sent using Jamii Forums mobile app
leo nitapita mwananyamala nitacheck hilo duka. Halafu mashoga sijui anawakumbatia wa kazi gani.Komakoma, M' nyamala, naendaga hapo!
No wateja kwakweli, mapungaa tu yamejazana full umbea
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi kwanini anawapenda sana hao watu unajua saa nyingien laana anajitafutia mwenyeweKomakoma, M' nyamala, naendaga hapo!
No wateja kwakweli, mapungaa tu yamejazana full umbea
Sent using Jamii Forums mobile app
Taswira ya dadake Glammadam umenijia hapa. Kajikondesha halafu kajichubua ukimwangalia utasema albino na ule wembamba hata havutii kama maalbinoUnene wa kupunguzwa na madawa au ugonjwa huwezi kupendeza kamwe
Hivi ukiukata utumbo utanenepaje tena?[emoji44]amekua sio mzuri tena na hata akivaa hapendezi. annenepe kidunchu tu nguo zimkae. Yani yeye na Uwoya bonge bado Uwoya kampita mbaaaali kule kwenye kupendeza
Mama ubaya ni dalali wa mapungaHivi kwanini anawapenda sana hao watu unajua saa nyingien laana anajitafutia mwenyewe
Anajiitaje insta?Taswira ya dadake Glammadam umenijia hapa. Kajikondesha halafu kajichubua ukimwangalia utasema albino na ule wembamba hata havutii kama maalbino
Mbona Mustapha kawa bonge tena? wanasema ukiendekeza kula unanenepa tena. Mange mwenyewe alikua anasema Tz Swithat anavyopenda kula kula asipokua makiini atarudi kule kule kwenye uneneHivi ukiukata utumbo utanenepaje tena?[emoji44]
Maana alichokifanya kaukata ili akila kidogo ashibe, yaaani maana ni kuwa alikuwa mlafi kujizuia kula hawezi, that's y akakatwa!
Hainaga kunenepa tena hiyo, still bado ina madhara huko mbeleni!
Maisha hayaa[emoji134]
Sent using Jamii Forums mobile app
looooh. Laana za kujitakia tu
Anawadalalia...yule demu kila kitu anafanya hapa chini ya jualeo nitapita mwananyamala nitacheck hilo duka. Halafu mashoga sijui anawakumbatia wa kazi gani.
sijui acc yake ya insta namuonaga tu mtaani
Hasanali kawa bonge tena?[emoji44][emoji134]Mbona Mustapha kawa bonge tena? wanasema ukiendekeza kula unanenepa tena. Mange mwenyewe alikua anasema Tz Swithat anavyopenda kula kula asipokua makiini atarudi kule kule kwenye unene