Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Binamu!!!Hii code nimetoka kapa.... Bora ile nyingine ya Mtangazaji na Boss wa Radio fulani. Nilielewa. Jaribu kutumia Code nyepesi Binamu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Diana Kimaro,
Zawadi naichukulia wapi babe
. Shukrani sana mkuu
Main ni wawili tu.KULE NLIELEWA ILA HAPA BILA BILA,
WANAOSEMWA KAMA WAPO WENGIWENGI KWENYE UHUSIKA MMOJA?
NANI NA NANI MKUU??
Oooh! hapo mekuelewa, asante sana
sasa nirudi kwa mtoa mada nielewe somo
huyu wa pili mbona hafiti kule kwenye uzi ni yule aliyekuwa mtangazaji wa Leo tena?
Huyo hajawahi kuwa mtangazaji bhana, yy ni muigizaji. Kuna muda alikuwaga anaigiza na kistuli km wanafunzi. Na juzi kati hapa alikuwa na tatoo ya sepenga ambayo ilileta tafrani kwenye mitandaohuyu wa pili mbona hafiti kule kwenye uzi ni yule aliyekuwa mtangazaji wa Leo tena?
Duuhh ... sepenga kitu anakula muda mrefu sana hajaanza jana wala leo " wadau wanasema hata kupyenga pia anapyenga kitambo tuSepenga nshawahi kula nae kitu kule ununio beach, mama cookie nae anajulikana wazi kua ni memba wa LGBT
Sent using Jamii Forums mobile app
hebu njoo PM MKUU, mi sio mfuatiliaji sana wa bongo movieHuyo hajawahi kuwa mtangazaji bhana, yy ni muigizaji. Kuna muda alikuwaga anaigiza na kistuli km wanafunzi. Na juzi kati hapa alikuwa na tatoo ya sepenga ambayo ilileta tafrani kwenye mitandao
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahhha mkuu kwhy umeshindwa kbs ku connect dotshebu njoo PM MKUU, mi sio mfuatiliaji sana wa bongo movie
akili yangu ishachoka mkuu ngoja tu nije PM