Kumbe mkoko mpya wa diamond ni wa kuhongwa, huyu apa aliyemuhonga..

Muda huu chief kiumbe yupo live times fm (sun rise), amekiri kumnunulia diamond platinum hilo gari kubwa (vx v8) kwa zaidi ya shilingi za kitanzania millioni 200 bure bila mkataba wowote

Mmmmh, hata viumbe vyote viliumbwa kwa sababu, huwezi sema huna makubaliano na mtu na kumpa zawadi tu, hata yy diamond angekuwa hajui anapewa gari kwa sababu gani asingepokea. Fanyeni yenu ila msiwadanganye watu kwa kuficha yenu.
 
kwahiyo kapewa kswasababu ya:
-Express ur self?
-Donkey
-Just friends?
 
Yani hivi hivi..!!

Bure bure..!!

Aaaa chief..

Daah!! Mjini hakukosi jipya..

Kapewa kama Zawadi??

Au kapewa tu??!

Maana zawadi huwa haitolewi bila sababu..

Cc: heaven on desert

na mimi nimejiulza sana hli swala aisee kwaio.. . . . . daaa haya bana sisi tupo hapa
 
Last edited by a moderator:
kwahiyo kapewa kswasababu ya:
-Express ur self?
-Donkey
-Just friends?

mamamamamaa a a a. nina mashaka na maswali yako ni kama nimegundua kitu hehehehehee e.
hii hatar 2pu aiseee mamamaaa me nahisi
chief kiumbe amependa kazi ya dimond
 
Diamond au yule msemaje wake aje atoe ufafanuzi tafadhali, kwani hizi taarifa zinatia simanzi.......haingii akilini mwanaume kupewa gari na mwanaume mwenzako...tena mfanya biashara mwenye utata.

kwaio hamuamini ama?
hayo ni mapenzi tu kwa msanii jaman
amemkubali anapenda kaz zake bana
 
chief kiumbeee ze bosiii_shetah.
chief kiumbe angaliaaa usije ukalialia_tunda man.
chief kiumbee beibii_qchief
 
wee dogo heaven on desert hebu njoo huku utoe ufafanuzi.
Kwenye swala la Hamisa ulikuja mbio kukanusha sasa kwenye hii naona kimya au vidole vimeparalize ghafla huwezi tena kutype.
Ila nyie madogo mi sishangai mkipewa tuhuma kama hizi,mmezidi kuvaa vi skin tight mnashindana na dada zenu kuvaa nguo za kuonesha hips,hips zenyewe hamna basi shida tu.Nyie WBC nikisikia mnaliwa kiboga sishangai mana wenyewe mlitangaza siku ile kuwa tigo zenu mnazisafisha vizuri na mkatuonesha bong`ooo na miboxer yenu meupe.Uvaaji wenu uchezaji wenu lazima mamende waje kuwatongoza,watoto wa kiume mnakata viuno hadi wanawake wa kitanga wanaiga kwenu!!
Najua utaniona mbaya ile nyie madogo mnatia aibu wanaume.
Boss wako kiakili za biashara yuko vizuri,anajua kuimba hapo nampa pwenti zote na ninamkubali ila yeye na crew yake nzima wanatia mashaka, nikisikia mnaliwa tigo siwezi kushangaa.
Au dogo nawaonea?
 
Huyo chief Kiumbe anafanya biashara za utata, zinanukia damu, utapeli, na wizi kwa 99.9999%.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…