Kumbe mkoko mpya wa diamond ni wa kuhongwa, huyu apa aliyemuhonga..

Kumbe mkoko mpya wa diamond ni wa kuhongwa, huyu apa aliyemuhonga..

Hilo gari lilikuw n platenomber ya chief ila kuna kitu kati hakuna msaada usio na malengo
 
Diamond au yule msemaje wake aje atoe ufafanuzi tafadhali, kwani hizi taarifa zinatia simanzi.......haingii akilini mwanaume kupewa gari na mwanaume mwenzako...tena mfanya biashara mwenye utata.
 
"Mwanae" huyo...
Muda huu chief kiumbe yupo live times fm (sun rise), amekiri kumnunulia diamond platinum hilo gari kubwa (vx v8) kwa zaidi ya shilingi za kitanzania millioni 200 bure bila mkataba wowote
 
Muda huu chief kiumbe yupo live times fm (sun rise), amekiri kumnunulia diamond platinum hilo gari kubwa (vx v8) kwa zaidi ya shilingi za kitanzania millioni 200 bure bila mkataba wowote

ukiona hivo anamahela mbaya..
 
Lile gari halina thamani hiyo kwa sasa labda lilipojua jipya ndio angelipa hiyo thamani kkn sio sasa hivi used ya dar es salaam
 
Mh ila inatakiwa ujiulize,mtu anakununulia gari la thamani kubwa hivyo,anyways hatujui wana makubaliano gani bana!
 
Haba lazima kutakuwa na kitu chini ya kapeti au Nyuma ya pazia.
 
Neema ya kuwa punda wa sembe bila kukamatwa. Siku itakuja na kiama kitawachukua kama daraja la dumila.
 
Ameshasema bila mkataba wowote! Halafu naomba niulize, hivi neno 'anyway' huwa lina plural yake 'anyways'?

Ni extended version..haahaaa....but it's usage is acceptable in informal conversations and dialogues......
 
Back
Top Bottom