Kumbe mlenda sio mboga

Kumbe mlenda sio mboga

Upo mkavu ukatwangwa na karanga, ila wewe pika hivi; chukua majani ya maboga kumi na tano na bamia tano za wastani hata sita OSHA chemsha maji ktk sufuria mdogo maji vikombe viwili au kadiria katakata bamia na majani ya maboga kidogo kidogo kama unavyokata kabichi maji yakichemka weka hayo majani na bamia ukipenda weka magadi kidogo ukitaka weka nyanya na karanga acha iive taratibu chumvi weka baadae kidogo baada ya muda ipua mlenda tayari kuliwa na ugali. Nakuamia wewe ni mpishi hushindwi kuvanya hivyo

Ile wanopika wahehe wanatia na karanga inaitwaje vile? Nliwahi pikiwa na dada mmoja ila ikanishinda sikuipenda ladha yake
 
Yaani ninavyouchukia mlenda hata siwezi kaa meza moja na anaekula mlenda kwa wakati huo
 
Ile wanopika wahehe wanatia na karanga inaitwaje vile? Nliwahi pikiwa na dada mmoja ila ikanishinda sikuipenda ladha yake

Siwezi kujua maana mboga za majani nyingi huwekwa karanga inategemea sehemu. Sehemu za pwani wanatumia nazi hivyo badala ya nazi wengine huweka karanga wengine ufuta au kweme
 
wakati wanaume wanaweka zengwe la wanawake kutokula mayai ili wale wao wanawake nao waliweka zengwe wanaume wasile mlenda ati unapounguza nguvu za kiume kumbe ni sbb wanaupenda sana
 
vipi mlenda ukichanganya na mchunga
 
Ile wanopika wahehe wanatia na karanga inaitwaje vile? Nliwahi pikiwa na dada mmoja ila ikanishinda sikuipenda ladha yake
kama ambavyo wazungu wengi hawapendi UGALI eti hauna ladha
 
images
 
Back
Top Bottom