Kumbe mnaposema tuwe na confidence mnakuwa na lengo baya?

Kumbe mnaposema tuwe na confidence mnakuwa na lengo baya?

Ni kweli ni watu kama wewe, ila wao wamekutangulia katika kile unachokitafuta, ni lazima uelewe kuna kanuni yake hapo ya kuendana nao, na kama uliweza imagine kama unafundisha nyani ( basi hauweku smart and gentle). Change Bro.. unapokuwa kwenye mahala pa interview, usiwe na hofu na usiwe na mambo ya hovyo kwasababu ya kujiamini kwako
Umenipa kitu naamini next time nitawin na itaclick tu japo pamoja na kukosa ingawa sijui labda wanasubiri msimu wa sikukuu upite ndo waniite
 
Aisee nilitawanya miguu vibaya mna maana nilifwatilia hadi youtube how to sit in the interview mimi nikaongeza na mambo yangu ya kinyakyusa pale ili mambo yabambe.
kwahiyo ukaamua kuongeza na utaalamu wako.interviews zina mambo ya kijinga yaani unaweza kutoka unajua umetoboa kumbe nyuma uko wenzio wameshakucancel kitambo tu..
 
Wazee baada ya kudevela katika interview nyingi kwa uoga na presha sasa mwezi uliopita naweza kusema katika interview zote nilizowahi kuattend nakiri hii ya mwezi jana ilikuwa ndo ilikuwa the best performance i ever had kiasi cha kuwatisha wote waliokuwa wanauliza maswali unaona kabisa wanaogopa unaona kabisa wanauliza kwa sauti za kutetemeka flani hivi.

Wakati hiyo tone ilikuwa ndo yangu kwenye kila interview zilizopita ila kwa mara ya kwanza kwenye interview hii Ile tone niliisikia kutoka kwao wasahili(aisee ni tone moja mbaya sana inasound hovyoo). Ile naingia tu nikakuta kuna sofa la watu watatu nikakaa katikati ya sofa huku nimetanua miguu.

Kuna mwana JF aliwahi kusema kwenye interview yoyote hata ya ukondakta wa daladala usikae kwa kubana bana miguu inakua kama hujiamini so miguu nikaitawanya kweli kweli msamba sio msamba sijui kitu gani yani full dominant.

Nikakuta wameweka chai na sambusa. Nakumbuka tena mwana jf huyo aliwahi pia kutoa ushauri kwamba unapofika kwenye interview jiachie feel at home), so baada ya kukumbuka hilo nikafungua ile chupa ya chai nikaanza kuinywa mdgo mdgo huku nawatazama machoni vikali mpaka wao ndo wakaanza kukwepesha macho kwa kuzuga kuangalia outline yao ya maswali kwenye karatasi.

(Mwana JF huyo huyo pia alisisitiza hakikisha unawakazia macho wasahili usiangalie pembeni hata kidogo. Nikazingatia ushauri). Walikuwa watano wanaume wawili na wanawake watatu wazuri kweli. Wakaanza na swali la tuambie wewe ni nani.

Nikatiririka vyema kwa kujiamini nikiitawala ofisi with vivid examples huku nawakazia macho mmoja baada ya mwingine yani nilijipanga leo kife kife ama zangu ama zao. Mwisho wa siku nikaambiwa utajulishwa kwa kupigiwa simu wiki ijayo tu hivyo nikaondoka. Na sikuondoka.

Inafika mida ya lunch wanatoka getini wanakuta napiga stori na mlinzi getini stori zimeiva ni kama tunajuana na pot kitambo kumbe walaa. Na nilisoma kuna broo mmoja katika wale wasahili alionekana kufurahia sana uwepo wangu siku ile alinisindikiza mpaka stendi huku tukipiga stori sana njiani.

Cha ajabu sijaitwa kazini mpaka leo na hiyo simu waliyosema watanipigia mpaka december hii sijaona hata wakinibip. Mods naomba mtanisaidia kuweka paragraphs.

Nina stress za kukosa kazi alafu christmas ni juma5 ijayo tu hapo. Lakini kwani nini? Chai yao nimekunywa.
Wewe haukuelewa MAELEKEZO! uliambiwa uwe na confidence sio over confidence and rude
 
Umenipa kitu naamini next time nitawin na itaclick tu japo pamoja na kukosa ingawa sijui labda wanasubiri msimu wa sikukuu upite ndo waniite
Lolote linawezekana, chukulia Kila interview ni sehemu ya kujifunza, kwa ajiri ya kuwa bora zaidi hapo mbeleni. Usichukulie kama failure bro. One day utapata kazi ya ndoto yangu.. jiamini, muamini Mungu pia
 
Sio kila interview lazima mtu apate..

Usiwavunje vijana moyo, kuna kazi watu wanapata bila kujuana. Na kuna kazi za mijuano.. naongea hivyo ninajua na Nina uhakika
Kama umefanya vizuri na inavyotakiwa kwenye interview kwanini usipate?

Kwanini? Unatakiwa ujue system imebadilika sana wasomi wengi na ajira za kujuana wewe unaware watu false hope unasema una uhakika kisa wewe ulipata bila kuangalia wenzio?

Hawa maelfu ya vijana wapo mitaani na wana qualifications hata interview wamefanya powa hawaitwi wanaitwa vilaza na wale wa vimemo halafu unakataa?

Umeajiriwa kwanza mkuu? ili nijue kabisa
 
Kama umefanya vizuri na inavyotakiwa kwenye interview kwanini usipate?

Kwanini? Unatakiwa ujue system imebadilika sana wasomi wengi na ajira za kujuana wewe unaware watu false hope unasema una uhakika kisa wewe ulipata bila kuangalia wenzio?

Hawa maelfu ya vijana wapo mitaani na wana qualifications hata interview wamefanya powa hawaitwi wanaitwa vilaza na wale wa vimemo halafu unakataa?

Umeajiriwa kwanza mkuu? ili nijue kabisa
Una uhakika gani kwanza kama alie kosa, kwamba amefanya interview Bora kuliko mwingine ?

Bado nakuambia kuna kazi watu wanapata pasipo kujuana. Wewe ndio unawavunja moyo watu humu. Kwamba Kila mtu anaepata kazi siku hizi kashikwa mkono ? ( Hapo sio kweli , kuna watu wanapata kazi pasipokujana na hata nukta ).

Mie sijaajiliwa, ni mshauri wa kujitegemea
 
Wazee baada ya kudevela katika interview nyingi kwa uoga na presha sasa mwezi uliopita naweza kusema katika interview zote nilizowahi kuattend nakiri hii ya mwezi jana ilikuwa ndo ilikuwa the best performance i ever had kiasi cha kuwatisha wote waliokuwa wanauliza maswali unaona kabisa wanaogopa unaona kabisa wanauliza kwa sauti za kutetemeka flani hivi.

Wakati hiyo tone ilikuwa ndo yangu kwenye kila interview zilizopita ila kwa mara ya kwanza kwenye interview hii Ile tone niliisikia kutoka kwao wasahili(aisee ni tone moja mbaya sana inasound hovyoo). Ile naingia tu nikakuta kuna sofa la watu watatu nikakaa katikati ya sofa huku nimetanua miguu.

Kuna mwana JF aliwahi kusema kwenye interview yoyote hata ya ukondakta wa daladala usikae kwa kubana bana miguu inakua kama hujiamini so miguu nikaitawanya kweli kweli msamba sio msamba sijui kitu gani yani full dominant.

Nikakuta wameweka chai na sambusa. Nakumbuka tena mwana jf huyo aliwahi pia kutoa ushauri kwamba unapofika kwenye interview jiachie feel at home), so baada ya kukumbuka hilo nikafungua ile chupa ya chai nikaanza kuinywa mdgo mdgo huku nawatazama machoni vikali mpaka wao ndo wakaanza kukwepesha macho kwa kuzuga kuangalia outline yao ya maswali kwenye karatasi.

(Mwana JF huyo huyo pia alisisitiza hakikisha unawakazia macho wasahili usiangalie pembeni hata kidogo. Nikazingatia ushauri). Walikuwa watano wanaume wawili na wanawake watatu wazuri kweli. Wakaanza na swali la tuambie wewe ni nani.

Nikatiririka vyema kwa kujiamini nikiitawala ofisi with vivid examples huku nawakazia macho mmoja baada ya mwingine yani nilijipanga leo kife kife ama zangu ama zao. Mwisho wa siku nikaambiwa utajulishwa kwa kupigiwa simu wiki ijayo tu hivyo nikaondoka. Na sikuondoka.

Inafika mida ya lunch wanatoka getini wanakuta napiga stori na mlinzi getini stori zimeiva ni kama tunajuana na pot kitambo kumbe walaa. Na nilisoma kuna broo mmoja katika wale wasahili alionekana kufurahia sana uwepo wangu siku ile alinisindikiza mpaka stendi huku tukipiga stori sana njiani.

Cha ajabu sijaitwa kazini mpaka leo na hiyo simu waliyosema watanipigia mpaka december hii sijaona hata wakinibip. Mods naomba mtanisaidia kuweka paragraphs.

Nina stress za kukosa kazi alafu christmas ni juma5 ijayo tu hapo. Lakini kwani nini? Chai yao nimekunywa.

Tabula rasa …!!! Umeliwa..!!😂😂😂 Akili za kuambiwa jambo changanya na zako..!! 😂😂 Akili zako umeacha umeenda mzima mzima..!!
 
Wazee baada ya kudevela katika interview nyingi kwa uoga na presha sasa mwezi uliopita naweza kusema katika interview zote nilizowahi kuattend nakiri hii ya mwezi jana ilikuwa ndo ilikuwa the best performance i ever had kiasi cha kuwatisha wote waliokuwa wanauliza maswali unaona kabisa wanaogopa unaona kabisa wanauliza kwa sauti za kutetemeka flani hivi.

Wakati hiyo tone ilikuwa ndo yangu kwenye kila interview zilizopita ila kwa mara ya kwanza kwenye interview hii Ile tone niliisikia kutoka kwao wasahili(aisee ni tone moja mbaya sana inasound hovyoo). Ile naingia tu nikakuta kuna sofa la watu watatu nikakaa katikati ya sofa huku nimetanua miguu.

Kuna mwana JF aliwahi kusema kwenye interview yoyote hata ya ukondakta wa daladala usikae kwa kubana bana miguu inakua kama hujiamini so miguu nikaitawanya kweli kweli msamba sio msamba sijui kitu gani yani full dominant.

Nikakuta wameweka chai na sambusa. Nakumbuka tena mwana jf huyo aliwahi pia kutoa ushauri kwamba unapofika kwenye interview jiachie feel at home), so baada ya kukumbuka hilo nikafungua ile chupa ya chai nikaanza kuinywa mdgo mdgo huku nawatazama machoni vikali mpaka wao ndo wakaanza kukwepesha macho kwa kuzuga kuangalia outline yao ya maswali kwenye karatasi.

(Mwana JF huyo huyo pia alisisitiza hakikisha unawakazia macho wasahili usiangalie pembeni hata kidogo. Nikazingatia ushauri). Walikuwa watano wanaume wawili na wanawake watatu wazuri kweli. Wakaanza na swali la tuambie wewe ni nani.

Nikatiririka vyema kwa kujiamini nikiitawala ofisi with vivid examples huku nawakazia macho mmoja baada ya mwingine yani nilijipanga leo kife kife ama zangu ama zao. Mwisho wa siku nikaambiwa utajulishwa kwa kupigiwa simu wiki ijayo tu hivyo nikaondoka. Na sikuondoka.

Inafika mida ya lunch wanatoka getini wanakuta napiga stori na mlinzi getini stori zimeiva ni kama tunajuana na pot kitambo kumbe walaa. Na nilisoma kuna broo mmoja katika wale wasahili alionekana kufurahia sana uwepo wangu siku ile alinisindikiza mpaka stendi huku tukipiga stori sana njiani.

Cha ajabu sijaitwa kazini mpaka leo na hiyo simu waliyosema watanipigia mpaka december hii sijaona hata wakinibip. Mods naomba mtanisaidia kuweka paragraphs.

Nina stress za kukosa kazi alafu christmas ni juma5 ijayo tu hapo. Lakini kwani nini? Chai yao nimekunywa.
JFS ni kisiwa cha ujuzi na maarifa.

Nitakuja kutoa confession yangu nzuri sana niliyopata kutoka hapa JF miezi miwili ijayo
 
Back
Top Bottom