WA KISHUA OG
Senior Member
- Nov 3, 2024
- 127
- 338
Sio kila interview lazima mtu apate..Mbona hajapata sasa?
Endelea kukaza fuvu sisi tupo huku na tunaona
Usiwavunje vijana moyo, kuna kazi watu wanapata bila kujuana. Na kuna kazi za mijuano.. naongea hivyo ninajua na Nina uhakika