Kumbe mnaposema tuwe na confidence mnakuwa na lengo baya?

Unatakiwa urudi siku moja kuwasalimia.
 
Nmecheka sana 🀣🀣🀣🀣🀣 kwamba ukapiga msamba, chai ukanywa na ukawakazia macho.

Lazma watakua walikuona some text missing dish bovu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Niliwazidi kete mpaka wakaanza kurudia maswali nikawa nawakumbusha kwamba hii ni kama nilivyosema hapo awali ni hivi na hivi na hivi eti ndo wakawa nanashtuka... Aaah sory swali nimerudia maana walikuwa wanauliza kwa kupokezana huyu akiuliza la Kwanza yule ana uliza la pili ila niliwaknock out with Peek A Boo style
 
Hahahah anything too much is Red flag.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…