Kumbe mpenzi wangu anajiuza

Weka Izoo Picha Za K Na Sisi Tuzione [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] , Piga chini Huyo Demu Wako Ana Element Za Tamaaa
K tena bro,,, ila nahis anatumika sana uyu. Lakin ni mpole sikutarajia
 
Ukimchunguza bata huwezi kumla.Pole sana bro sema ukishafanya hivo usimuache atakuwa na nidhamu na wewe.
 
Ukimchunguza bata huwezi kumla.Pole sana bro sema ukishafanya hivo usimuache atakuwa na nidhamu na wewe.
Bro, ilo ndio lengo langu kubwa sana. Nimkule alaf taa ikiwaka najua ataamaki lakin sijui kama atazilai..

Kisha nitamwambia nimekusameh turudi nyumbani
 
Bro, ilo ndio lengo langu kubwa sana. Nimkule alaf taa ikiwaka najua ataamaki lakin sijui kama atazilai..

Kisha nitamwambia nimekusameh turudi nyumbani
Fanya hivo bro utakuwa umejenga ukuta wa Belini.Halafu ufanye mipango ile simu umletee basi roho itakuwa inamsuta sana.Afu piga kimya kama hakijatokea kitu.
 
Mkuu kama utapokea ushauri wangu itakuwa poa.
Kwanza lengo lako limeshatimia, ni kwamba kitendawili cha mwendendo wa mchumba wako umeshakitegua kwa kujua tabia zake halisi.

Wanawake wanapenda taratibu sana tofauti na wanaume. Hivyo kitendo cha kufanya hayo yote ndani ya muda mfupi inaonesha kuna tatizo.

Ushauri wangu ni kwamba usifanye hicho unachotaka kufanya. Unaweza kusababisha mauti au tatizo kubwa kiafya hata la akili kwa hali hiyo ikiwemo presha au paralysis.
Kumbuka licha ya tamaa na kukosa uaminifu, bado anakupenda na anatarajia ndoa kwako bila kujali amekuweka akiba au la.

Unaweza kuamua kuachana naye kistaarabu hata kama amekusababishia maumivu muda mrefu.

Juu ya yote, jaribu kuangalia maisha yenu ya mahusiano yalikuwa na changamoto gani, na ulimpa nafasi gani kwako ili aridhike na kutoshawishika kwenda nje.
 
Umenikumbusha mwana mmoja alileta mada kama hiyo baada ya kuambiwa na rafiki yake kwamba mchumba wake anajiuza badoo, jamaa itabidi nae awepo badoo baada ya cku kadhaa akafanikiwa kumpata mchumba wake,kwa kuwa alijiunga kwa jina lingine jamaa akaomba urafiki mwisho akamtongoza mwanamke akajaa mipicha ya utupu kibao huku akimpondea sana jamaa yake aliekuwa nawe mpaka kufikia hapo mwanamke hakujua kama anachati na mchumba ambae ndio mumewe wa kesho na taratibu ndogondogo za ndoa kifamilia zilishaanza, sasa jamaa akaomba akutane na mwanamke gest, mwanamke akaja, jamaa alitangulia akajificha pembeni kabisaaaa alipomuona itabidi atoe udhuru kwamba hatafika mwanamke akaondoka ,jamaa akabaki kulia tu, na alikuja hapa jf kulalamika,
 
Ni ushauri mzuri sana mkuu,, lakin ningependa ainhie adi room, nimle kisha baada ya apo ajidharau kwanza kwa kujitahisisha kisha nitamwambia nimekusamehe mpnzi najua uliteleza, Tuendelee na maisha yetu kama kawaida.
 
Bro mim kuna dem mweingine nilimfukunyua kwa namna hii hii, alikuwa dem wangu tena tuliyeshibana alafu ni mtoto wa askofu mkubwa tu wa kipentecost,,

Nikatumia jina bandia nikamtongoza ikawa fresh mapenz yaliiva vizuri sana adi akawa anapiga picha za uchi ananitumia zakutosha. Baadae nikapiga chini
 
Ukimchunguza sana bata............!?

Alafu huyo demu hajiuzi,amevutiwa na mambo ambayo ww humfanyii

Kwan ww hutaman au kupiga madem wa nje ukiachana na huyo manzi wako?
 
Hayo yote ya Nini mkuu,,,,umejiridhisha kuwa hakufai achana nae kwa amani tu
 
Wewe mleta uzi ndo una shida tena nyingi tuu, demu hujamuwezea kabisa ukute hata hugharamii na mashipa hujuikupiga.

Wewe ndo humfai yani, kama hutaki comment yangu andamana.
 
Wewe mleta uzi ndo una shida tena nyingi tuu, demu hujamuwezea kabisa ukute hata hugharamii na mashipa hujuikupiga.

Wewe ndo humfai yani, kama hutaki comment yangu andamana.
Mkuu mshipa nampiga vilivyo, namghalamia kwa vitu vingi sana, akitaka simu kali, namnunulia, mavazi na kumpendezesha, ni pisi ya kwenda bro. Ninamaisha ya kati.. nammudu kiasi chake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…