Superb2014
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 9,266
- 7,426
Kama ni kweli ulichokiandika pole sana, usiache kuleta mrejesho hapa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bro, ilo ndio lengo langu kubwa sana. Nimkule alaf taa ikiwaka najua ataamaki lakin sijui kama atazilai..Ukimchunguza bata huwezi kumla.Pole sana bro sema ukishafanya hivo usimuache atakuwa na nidhamu na wewe.
Fanya hivo bro utakuwa umejenga ukuta wa Belini.Halafu ufanye mipango ile simu umletee basi roho itakuwa inamsuta sana.Afu piga kimya kama hakijatokea kitu.Bro, ilo ndio lengo langu kubwa sana. Nimkule alaf taa ikiwaka najua ataamaki lakin sijui kama atazilai..
Kisha nitamwambia nimekusameh turudi nyumbani
Story haina chai mkuu kula hivyo hivyo tuDogo tunywe hivi hivi au tusubiri maandazi?
Ni ushauri mzuri sana mkuu,, lakin ningependa ainhie adi room, nimle kisha baada ya apo ajidharau kwanza kwa kujitahisisha kisha nitamwambia nimekusamehe mpnzi najua uliteleza, Tuendelee na maisha yetu kama kawaida.Mkuu kama utapokea ushauri wangu itakuwa poa.
Kwanza lengo lako limeshatimia, ni kwamba kitendawili cha mwendendo wa mchumba wako umeshakitegua kwa kujua tabia zake halisi.
Wanawake wanapenda taratibu sana tofauti na wanaume. Hivyo kitendo cha kufanya hayo yote ndani ya muda mfupi inaonesha kuna tatizo.
Ushauri wangu ni kwamba usifanye hicho unachotaka kufanya. Unaweza kusababisha mauti au tatizo kubwa kiafya hata la akili kwa hali hiyo ikiwemo presha au paralysis.
Kumbuka licha ya tamaa na kukosa uaminifu, bado anakupenda na anatarajia ndoa kwako bila kujali amekuweka akiba au la.
Unaweza kuamua kuachana naye kistaarabu hata kama amekusababishia maumivu muda mrefu.
Juu ya yote, jaribu kuangalia maisha yenu ya mahusiano yalikuwa na changamoto gani, na ulimpa nafasi gani kwako ili aridhike na kutoshawishika kwenda nje.
Bro mim kuna dem mweingine nilimfukunyua kwa namna hii hii, alikuwa dem wangu tena tuliyeshibana alafu ni mtoto wa askofu mkubwa tu wa kipentecost,,Umenikumbusha mwana mmoja alileta mada kama hiyo baada ya kuambiwa na rafiki yake kwamba mchumba wake anajiuza badoo, jamaa itabidi nae awepo badoo baada ya cku kadhaa akafanikiwa kumpata mchumba wake,kwa kuwa alijiunga kwa jina lingine jamaa akaomba urafiki mwisho akamtongoza mwanamke akajaa mipicha ya utupu kibao huku akimpondea sana jamaa yake aliekuwa nawe mpaka kufikia hapo mwanamke hakujua kama anachati na mchumba ambae ndio mumewe wa kesho na taratibu ndogondogo za ndoa kifamilia zilishaanza, sasa jamaa akaomba akutane na mwanamke gest, mwanamke akaja, jamaa alitangulia akajificha pembeni kabisaaaa alipomuona itabidi atoe udhuru kwamba hatafika mwanamke akaondoka ,jamaa akabaki kulia tu, na alikuja hapa jf kulalamika,
Kwa dar hali ya hewa ina ruhusa 🤣Tusubiri kwanza ipoe maana kaileta yamoto sana!
Hayo yote ya Nini mkuu,,,,umejiridhisha kuwa hakufai achana nae kwa amani tuSalaam wanaJF.
Ninademu wangu tupo kwenye mahusiano ni mwaka sasa, tunapendana sana na ananipenda kinoma, hakuna ishara yoyote ya usaliti kwangu,
Pisi kali, shepu kali ni mtulivu anajiheshimu na tumepanga kuoana mwakani na adi kwao natambulika na mipango iyo ni mwakani.
Sasa wiki iliyopita nikaona hapana kwa huu utulivu ivi ndivyo alivyo au anauasi nyuma ya pazia maana hana ishara ya kuchepuka japo simu yake uwa anaiweka password ngumu kinoma, nikatengeneza account ya Facebook nikachukua picha za jamaa angu wa mkoani ni handsome na mtu wa viwanja vikali, mtu wa kubadirisha magari tu, nikaziweka picha zake kadhaa nikamfriend request mchumbaangu akaAccept, tukachart kama siku mbili kisha nikamtongoza hajachomoa demu akakubari safi tu, nikatafuta laini mpya kisha nikaDownload app ya kubadirisha sauti nikawa naongea nae adi usiku tunachart whatsapp kisha nikamdanganya mim naishi mtaa wa nne kutoka kwao ila nikamwambia nimesafiri mara moja ila ijumaa narudi,
Nikampromise namletea zawadi ya simu ya Samsung brand new na viatu, nikachukua clip fupi ya samsung unboxing yan akapagawa , akafurahi sana na mabusu mengi mengi, nikamuomba picha zake za uchi akapiga akanitumia zakutosha, kiufupi ni kwamba mahaba yakawa yamekolea nazi haswaa tena kwa mtu ambaye hamjui wala hajawai ata kuonana nae ila anamtumia picha za uchi adi K yote kaipiga picha kanitumia. “inaniumiza kichwa lakin nataka niuone mwisho wake huo kesho"
Tumepanga mengi ya maisha adi tupelekane kwao ndani ya wiki na nusu tu kaingia kingi mazima uyu mpenz wangu wa moyo tena kwa mtu hasiyemjua,
Tumepanga tukutane kwenye Guest house fulani ivi iyo ijumaa tuikule mbususu ameniambia fresh na anahamu ya kulionja dushe langu na amenipa ahad nyingi sana za kunipa penz tamu. Sasa nataka nimchezee mchezo japo inaumiza moyo,
nimeshaenda kumpanga na jamaa wa kwenye iyo gest kwamba tucheze mchezo demu nitampigia simu anapokuja nitamwambia aje chumba namba fulani mlango upo wazi, yan anapoingia tu jamaa azime umeme kwenye main switch kuwe giza totoro alaf baada ya dakika maybe 15 awashe ,
Kabla ya yote tumepanga mim na uyu demu kwamba akifika tu tuanze na romance moja kwa moja kabla ya salamu, sasa mim nitamuanza na romance adi nimle kabisa adi umeme unapowaka akute kumbe yule mpenz wake mpya wa Facebook sio kumbe ni mim mpenz wake ninayetarajia kumuoa na kwao nimetambulishwa na huduma zote namfanyia, .
Wakuu hii situation inaniumiza moyo na sijui kama Dushe litasimama lakin nitaliinua na K-vant mojamoto..
WAKUU ILO TUKIO NALIFANYA KESHOKUTWA NIOMBEENI WAKUU..
[emoji24][emoji24][emoji24]
Mkuu mshipa nampiga vilivyo, namghalamia kwa vitu vingi sana, akitaka simu kali, namnunulia, mavazi na kumpendezesha, ni pisi ya kwenda bro. Ninamaisha ya kati.. nammudu kiasi chakeWewe mleta uzi ndo una shida tena nyingi tuu, demu hujamuwezea kabisa ukute hata hugharamii na mashipa hujuikupiga.
Wewe ndo humfai yani, kama hutaki comment yangu andamana.