Kumbe mpenzi wangu anajiuza

Kuna watu mpo namaisha peaceful mpk mnaanza kutafuta stress kwa ulazima!
Kulikua na haja gani yakufanya yote hayo!?
 
Usisahau kutupa mrejesho hapa hapa Jukwaani
 
Ninademu wangu tupo kwenye mahusiano ni mwaka sasa, tunapendana sana na ananipenda kinoma, hakuna ishara yoyote ya usaliti kwangu,

Na hapo ndio huwa mnajifariji ujinga...

Never trust a women kirahisi hvo.....

Huyo kahaba achana nae,, fanya mambo mengine... Ila kwa kuwa uko trapped na kei,, basi ndio hvo tena tushakupoteza....

Hakuna haja ya kukutana nae,,, ili iweje? Ugundue nn?? Umkomoe??? Unashindana na ulikotoka.??? Unataka uonekane mwamba??? Unahisi utamkaza kama wanavomkaza wahuni wengine??? Unahisi ataacha umalaya??? Ukimkaza ndio utapona maumivu ujisikie vizuri??? Unaweza ku handle reaction itakayotokea baada ya hio meeting.!??

Choose wisely,,, usiwe trapped na pusssy kirahisi hvo...

Don't give a Faki... Focus na Maisha yako...
 
Tabu yote ya nin hyo mkuu..dah..kuna watu wanateseka jaman.dah
 
Kwa hiyo usanii huu ukiendelea na wewe uko naye? Basi ni mtaalamu, la sivyo unayosema yako kichwani mwako na unatuelezea tu hapa.
 
WENGI WANAHISI NIMEKOPY SEHEMU, NAPENDA NINGEKUWA NAFAHAMIANA NA MEMBER MMOJA UMU TUNAYEISHI KARIBU NIMUITE IYO IJUMAA ASHUHUDIE KINACHOTOKEA...
 
Unaoa unataka hawa watu ukiwachukulia tofauti utakuja kujuta. Hawa na toroli hawana tofauti ni wa kuwaburuza. Nachukia sana wanawake wanaojidai wapole.
 
aisee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…