Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,355
- 14,408
[emoji23][emoji23][emoji23], Picha za uchi za mchumba wa mtu unataka za kazi gani?.Weka Izoo Picha Za K Na Sisi Tuzione [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] , Piga chini Huyo Demu Wako Ana Element Za Tamaaa
Yaan watu wazime umeme kisa mteja mmoja kwel, alaf kwny maguest huwa hawapendi maugomvi.Salaam wanaJF.
Ninademu wangu tupo kwenye mahusiano ni mwaka sasa, tunapendana sana na ananipenda kinoma, hakuna ishara yoyote ya usaliti kwangu,
Pisi kali, shepu kali ni mtulivu anajiheshimu na tumepanga kuoana mwakani na adi kwao natambulika na mipango iyo ni mwakani.
Sasa wiki iliyopita nikaona hapana kwa huu utulivu ivi ndivyo alivyo au anauasi nyuma ya pazia maana hana ishara ya kuchepuka japo simu yake uwa
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji12] [emoji12] [emoji12] watu wanatembea na office zao msishangae jmnMmmh pole mkuu usijaribu kumchunguza ama kumjaribu demu pindi tupo chuo kweli room moja tulikua wanaume ka nane hivi basi siku moja tukasema kila mtu atoe namba ya manzi ake af atongozwe na mchiz mmoja wetu pale looh ilikua balaa jaman Yan mademu wote wanakasema wapo single adi dem wangu looh [emoji28][emoji28][emoji28]
Bro iyo guest sio kwamba namna gan, iyo guest ni nzuri ni vile tu inakuwaga haina wateja alaf naipata vizuri, guest na bar vipo tofaut ktk main switch,Yaan watu wazime umeme kisa mteja mmoja kwel, alaf kwny maguest huwa hawapendi maugomvi
Ila hii ofisi ni ngumu sana kuielewa, ipo kiupole mstaarabu mno. Sipati picha iyo kesho anavyonidanganya MASSETO original maana namim pia nitamuomba papuchi,,[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji12] [emoji12] [emoji12] watu wanatembea na office zao msishangae jmn
Wameweka tamaa mbele, iyo Samsung sio kwamba siwez mnunulia, nimemnunulia simu kali ila bado anaenda kumvulia boy mwingine sabab ya kitu. Aibu sana hiiDuu yaani hawa viumbe hawaelewiki wanataka nn,,
Ndiyo maana ss wanaume tunakufa wengi kuliko wao na tunawaacha wakiwa wajane!!
Hii tunasubiri visheti kabisaDogo tunywe hivi hivi au tusubiri maandazi?
Salaam wanaJF.
Ninademu wangu tupo kwenye mahusiano ni mwaka sasa, tunapendana sana na ananipenda kinoma, hakuna ishara yoyote ya usaliti kwangu,
Pisi kali, shepu kali ni mtulivu anajiheshimu na tumepanga kuoana mwakani na adi kwao natambulika na mipango iyo ni mwakani.
WAKUU ILO TUKIO NALIFANYA KESHOKUTWA NIOMBEENI WAKUU..
[emoji24][emoji24][emoji24]
Bro ni timing tuliyoichorea raman lakin ni raman ya maumiv maana nimeitengeneza kwaajiri ya mke wangu mtarajiwa, main switch ipo kwenye corridor alaf chumba nilichopanga kuchukua kipo pia kwenye corridor, ivyo bas ni kwamba mtu anayezima main switch atakuwa ametenganishwa na pazia laini ambalo uyu mke wangu hatogundua kitu,Sasa umeme ukizimwa, Demu si atawasha tochi ya kwenye Simu na atakuona kabla haujamuonya?.
Ila wanawake wa hivi wapo sana. Niliwahi sikia, Kuna jamaa kule Morogoro aliambiwa mke wake anajiuza usiku pale Msamvu, akafuatilia na kweli alimkuta mke wake na machangu wenzake.