Kumbe mpenzi wangu anajiuza

Kumbe mpenzi wangu anajiuza

Mwishowe tunatangaziwa wapenzi wauana gest..
Hapana mkuu,,, Maisha bado nayapenda sana lakin vibao viwili vitatu atakula, kisha jmos ntamnunulia iyo Samsung
 
  • Thanks
Reactions: Lee
K ni kama sahani ya wali kwa mama ntilie unatumia inaoshwa kisha anapakuliwa mwingine na ukijichanganya kurudi kama kawa inaoshwa unatengewa
 
Hakukuwa na ulazima hata wa kuzima umeme. Huyo Dem ndio angetangulia kisha akujuze yupo chumba kipi. Haina hata haja ya kumgegeda, unaingia tu unamuonyesha ushahidi kisha unapiga chini.
Mi nampiga chini bila ushaidi
 
Hakukuwa na ulazima hata wa kuzima umeme. Huyo Dem ndio angetangulia kisha akujuze yupo chumba kipi. Haina hata haja ya kumgegeda, unaingia tu unamuonyesha ushahidi kisha unapiga chini.
Apo nyuma niliwai kuwa na mmoja ambae alikuwa anaenda kuchukua chumba yey mwenyew, ila uyu anakuwaga na aibu kwanza hawezi ata kidogo kaka.
 
Salaam wanaJF.

Ninademu wangu tupo kwenye mahusiano ni mwaka sasa, tunapendana sana na ananipenda kinoma, hakuna ishara yoyote ya usaliti kwangu,

Pisi kali, shepu kali ni mtulivu anajiheshimu na tumepanga kuoana mwakani na adi kwao natambulika na mipango iyo ni mwakani.

Sasa wiki iliyopita nikaona hapana kwa huu utulivu ivi ndivyo alivyo au anauasi nyuma ya pazia maana hana ishara ya kuchepuka japo simu yake uwa anaiweka password ngumu kinoma, nikatengeneza account ya Facebook nikachukua picha za jamaa angu wa mkoani ni handsome na mtu wa viwanja vikali, mtu wa kubadirisha magari tu, nikaziweka picha zake kadhaa nikamfriend request mchumbaangu akaAccept, tukachart kama siku mbili kisha nikamtongoza hajachomoa demu akakubari safi tu, nikatafuta laini mpya kisha nikaDownload app ya kubadirisha sauti nikawa naongea nae adi usiku tunachart whatsapp kisha nikamdanganya mim naishi mtaa wa nne kutoka kwao ila nikamwambia nimesafiri mara moja ila ijumaa narudi,

Nikampromise namletea zawadi ya simu ya Samsung brand new na viatu, nikachukua clip fupi ya samsung unboxing yan akapagawa , akafurahi sana na mabusu mengi mengi, nikamuomba picha zake za uchi akapiga akanitumia zakutosha, kiufupi ni kwamba mahaba yakawa yamekolea nazi haswaa tena kwa mtu ambaye hamjui wala hajawai ata kuonana nae ila anamtumia picha za uchi adi K yote kaipiga picha kanitumia. “inaniumiza kichwa lakin nataka niuone mwisho wake huo kesho"

Tumepanga mengi ya maisha adi tupelekane kwao ndani ya wiki na nusu tu kaingia kingi mazima uyu mpenz wangu wa moyo tena kwa mtu hasiyemjua,

Tumepanga tukutane kwenye Guest house fulani ivi iyo ijumaa tuikule mbususu ameniambia fresh na anahamu ya kulionja dushe langu na amenipa ahad nyingi sana za kunipa penz tamu. Sasa nataka nimchezee mchezo japo inaumiza moyo,

nimeshaenda kumpanga na jamaa wa kwenye iyo gest kwamba tucheze mchezo demu nitampigia simu anapokuja nitamwambia aje chumba namba fulani mlango upo wazi, yan anapoingia tu jamaa azime umeme kwenye main switch kuwe giza totoro alaf baada ya dakika maybe 15 awashe ,

Kabla ya yote tumepanga mim na uyu demu kwamba akifika tu tuanze na romance moja kwa moja kabla ya salamu, sasa mim nitamuanza na romance adi nimle kabisa adi umeme unapowaka akute kumbe yule mpenz wake mpya wa Facebook sio kumbe ni mim mpenz wake ninayetarajia kumuoa na kwao nimetambulishwa na huduma zote namfanyia, .

Wakuu hii situation inaniumiza moyo na sijui kama Dushe litasimama lakin nitaliinua na K-vant mojamoto..

WAKUU ILO TUKIO NALIFANYA KESHOKUTWA NIOMBEENI WAKUU..

[emoji24][emoji24][emoji24]
Hayo yote unayofanya ni ujinga mtupu from the beginning.

Na nakwambia utampoteza mwanamke anayekupenda. Hebu achana na hizo habari
 
Una Muda wa Ziada eitherway....

Kwa kutunga hii story (ingawa sio mbaya sana sababu unatoa burudani) AU

Kama ni kweli umekosa kazi za kufanya..., umefanya hayo yote ili iweje ? Je ukifika mpaka mwisho akasema alikuwa anajua na wewe anakupima akili zako na uaminifu wako kwake ? Huo muda wa kupoteza uliotumia mgelima shamba la mchicha sasa hivi si mgekuwa mnavuna ? Badala ya kupalilia penzi wewe unamwaga magugu....
Wewe umeongea point. Any smart girl hawezi kubali apoteze ushindi nusu fainali huku analiona kombe kuelekea fainali
 
Hayo yote unayofanya ni ujinga mtupu from the beginning.

Na nakwambia utampoteza mwanamke anayekupenda. Hebu achana na hizo habari
Moyo wangu pia unajisikia vibaya sana kufanya tukio kama ili, lakin naimani sitampoteza ni kwamba nataka ajifunze,, ata iyo Samsung nitaenda nayo mpya kabisa na box lake kisha nitamwambia nimekusamehe, na nitamsameh kabisa kakin lengo langu ajifunze
 
Wewe umeongea point. Any smart girl hawezi kubali apoteze ushindi nusu fainali huku analiona kombe kuelekea fainali
Bro hakuna kitu kama icho, niko smart sana kichwani ila sina vyeti, Demu naongea nae mim mwenyew original alaf nachukua simu ingine yenye laini feki nampigia akicheki kuna simu ingine inaingia kwa simu yake tena ni mwanaume aliyemuahid kumpatia zawad ya Samsung ananiambia subir kidogo mume wangu kuna mama yake mdogo anampigia, apo bas anakata cm yangu alaf anapokea tena simu yangu feki naendelea kuongea nae bila kujua.
 
Moyo wangu pia unajisikia vibaya sana kufanya tukio kama ili, lakin naimani sitampoteza ni kwamba nataka ajifunze,, ata iyo Samsung nitaenda nayo mpya kabisa na box lake kisha nitamwambia nimekusamehe, na nitamsameh kabisa kakin lengo langu ajifunze
Bora ujue na yeye alikuwa anaku enjoy alikujua kuliko ukafanya unachosema . Hakika hutamsamehe. Muda wa kumsamehe ni sasa. Sio wakati wa hilo tukio.

Halafu mara nyingi wachumba wengi wanaagana na makandokando hata siku moja kabla ya ndoa.
 
Hapana mkuu,,, Maisha bado nayapenda sana lakin vibao viwili vitatu atakula, kisha jmos ntamnunulia iyo Samsung
Duh mkuu hadi kufikia hapo bado unataka kuendelea nae na kumuoa?

Kweli "mchuma janga hula na wa kwao"
 
Tafuta hela mvulana ni malaika tu atakaekubali kutumia itel ya tochi aache magalaxy. Nakushauri ukifika ufike na vitu vyote ulivyoahidi Kisha mtake atulie.
 
Tafuta hela mvulana ni malaika tu atakaekubali kutumia itel ya tochi aache magalaxy. Nakushauri ukifika ufike na vitu vyote ulivyoahidi Kisha mtake atulie.
Nitamnunulia kila kitu nilichomuahid nitaenda navyo mkuu,,
 
Story tamu hii, ila nikukumbushe tu huo mtego ni mzito sana kwa wanawake wengi takribani 95% hawawezi kuuruka lazima watajinasa. Nimeshafanya hivyo mara kibao na hakuna mwanamke aliyetoboa.

My take:. Usimwache, wengi tunaanguka sana siku ya majaribu yetu. Pia muweke wazi kuwa huyo mtu uliyechat naye ni wewe, hivyo utazidi kumwongezea umakini na pia atajifunza.
 
Back
Top Bottom