Kumbe mpenzi wangu anajiuza

Kumbe mpenzi wangu anajiuza

Una Muda wa Ziada eitherway....

Kwa kutunga hii story (ingawa sio mbaya sana sababu unatoa burudani) AU

Kama ni kweli umekosa kazi za kufanya..., umefanya hayo yote ili iweje ? Je ukifika mpaka mwisho akasema alikuwa anajua na wewe anakupima akili zako na uaminifu wako kwake ? Huo muda wa kupoteza uliotumia mgelima shamba la mchicha sasa hivi si mgekuwa mnavuna ? Badala ya kupalilia penzi wewe unamwaga magugu....
Bro ananipima adi kunitumia picha za uchi, kuwa serious mkuu..
 
Salaam wanaJF.

Ninademu wangu tupo kwenye mahusiano ni mwaka sasa, tunapendana sana na ananipenda kinoma, hakuna ishara yoyote ya usaliti kwangu,

Pisi kali, shepu kali ni mtulivu anajiheshimu na tumepanga kuoana mwakani na adi kwao natambulika na mipango iyo ni mwakani.
Mkitungaga stori kama hivi mnafaidika nini?
 
Sasa mkuu,unaweza kuta hapo umemuahidi vitu ambavyo wewe kiuhalisia humpi?

Kila binadamu ana tamaa hapo shukuru umegundua mapema.
Bro kipato changu ni cha kati, nammudu kwa huduma zote, iwe kifedha adi unyumba. Na sio kwamba siwez mnunulia iyo Samsung maana ata smartphone anayotumia ni mimi nimemnunulia 300k bro.. viatu vya kike shngapi bro mim nishindwe na ninamnunulia nguo na kila kitu
 
Sijui kama nitaoa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ilikuwa niowe mwezi wa 10 nikasogeza mbele mpaka mwezi huu wa 12.... Na kwa huu uzi ngoja nisogeze tena mpaka mwakani mwezi wa 4
Bro sio wote wapo ivi lakin wengi wapo ivi, ni wachache sana ambao hawapo ivi na wanaweza kuzikimbia tamaa za ivyo
 
Mkuuuu pole sana unatatizo la kisaikolojia kubwa unahitaji msaada wa kisaikolojia kwa tuliosomea saikolojia pole na krb dm nikusaidie.
 
Salaam wanaJF.

Ninademu wangu tupo kwenye mahusiano ni mwaka sasa, tunapendana sana na ananipenda kinoma, hakuna ishara yoyote ya usaliti kwangu,

Pisi kali, shepu kali ni mtulivu anajiheshimu na tumepanga kuoana mwakani na adi kwao natambulika na mipango iyo ni mwakani.

Sasa wiki iliyopita nikaona hapana kwa huu utulivu ivi ndivyo alivyo au anauasi nyuma ya pazia maana hana ishara ya kuchepuka japo simu yake uwa anaiweka password ngumu kinoma, nikatengeneza account ya Facebook nikachukua picha za jamaa angu wa mkoani ni handsome na mtu wa viwanja vikali, mtu wa kubadirisha magari tu, nikaziweka picha zake kadhaa nikamfriend request mchumbaangu akaAccept, tukachart kama siku mbili kisha nikamtongoza hajachomoa demu akakubari safi tu, nikatafuta laini mpya kisha nikaDownload app ya kubadirisha sauti nikawa naongea nae adi usiku tunachart whatsapp kisha nikamdanganya mim naishi mtaa wa nne kutoka kwao ila nikamwambia nimesafiri mara moja ila ijumaa narudi,

Nikampromise namletea zawadi ya simu ya Samsung brand new na viatu, nikachukua clip fupi ya samsung unboxing yan akapagawa , akafurahi sana na mabusu mengi mengi, nikamuomba picha zake za uchi akapiga akanitumia zakutosha, kiufupi ni kwamba mahaba yakawa yamekolea nazi haswaa tena kwa mtu ambaye hamjui wala hajawai ata kuonana nae ila anamtumia picha za uchi adi K yote kaipiga picha kanitumia. “inaniumiza kichwa lakin nataka niuone mwisho wake huo kesho"

Tumepanga mengi ya maisha adi tupelekane kwao ndani ya wiki na nusu tu kaingia kingi mazima uyu mpenz wangu wa moyo tena kwa mtu hasiyemjua,

Tumepanga tukutane kwenye Guest house fulani ivi iyo ijumaa tuikule mbususu ameniambia fresh na anahamu ya kulionja dushe langu na amenipa ahad nyingi sana za kunipa penz tamu. Sasa nataka nimchezee mchezo japo inaumiza moyo,

nimeshaenda kumpanga na jamaa wa kwenye iyo gest kwamba tucheze mchezo demu nitampigia simu anapokuja nitamwambia aje chumba namba fulani mlango upo wazi, yan anapoingia tu jamaa azime umeme kwenye main switch kuwe giza totoro alaf baada ya dakika maybe 15 awashe ,

Kabla ya yote tumepanga mim na uyu demu kwamba akifika tu tuanze na romance moja kwa moja kabla ya salamu, sasa mim nitamuanza na romance adi nimle kabisa adi umeme unapowaka akute kumbe yule mpenz wake mpya wa Facebook sio kumbe ni mim mpenz wake ninayetarajia kumuoa na kwao nimetambulishwa na huduma zote namfanyia, .

Wakuu hii situation inaniumiza moyo na sijui kama Dushe litasimama lakin nitaliinua na K-vant mojamoto..

WAKUU ILO TUKIO NALIFANYA KESHOKUTWA NIOMBEENI WAKUU..

[emoji24][emoji24][emoji24

Inaonekana Plan imekamilika, Je umeshawaza nini kifuate Baada ya hup mtego ? Atagundua ni wewe Mchumba wake. Then ?
 
.
IMG_20211101_215711.jpg
 
Kwa ulivyomuingia je angekuwa mwanamke fulani amekuingia hivyohivyo ungekataa??

Binadamu wote udhaifu wetu ni pesa na vitu vizuri.....the offer was too good to turn down kwa mwanamke alieishi na kukulia maisha ya kawaida....

If she is too good of a woman huo ndo udhaifu wake ubebe
 
Kwa ulivyomuingia je angekuwa mwanamke fulani amekuingia hivyohivyo ungekataa??

Binadamu wote udhaifu wetu ni pesa na vitu vizuri.....the offer was too good to turn down kwa mwanamke alieishi na kukulia maisha ya kawaida....

If she is too good of a woman huo ndo udhaifu wake ubebe
Bro, mfano rahis tu wenye ukakasi kidogo,, mnaishi mtaa fulani alafu moja kati ya wazazi wako yaani mama au baba yako amefumaniwa Guest house na mtu mwingine, unahisi apo aibu itaenda kwa mama au baba aliyefumaniwa,

Mwanamke akitumika na mtu baki ni fedhea kwa jamii nzima lakin mwanaume haina uzito na ninayaongea aya haimaanishi nina mfumo dume,,

Mwanamke anashuka heshima vibaya mno.
 
Back
Top Bottom