Kumbe mtu anaweza akaangalia tamthilia ya kifilipino hadi akalia kama mtoto?

Kumbe mtu anaweza akaangalia tamthilia ya kifilipino hadi akalia kama mtoto?

Hapo hapo wengine wanakumbukia walivyoachwa na madanga yao ndio wanaongeza na kasi ya kulia, hao ni wanawake mkuu, usiwaamini sanaa.
 
Kweli kuna watu hisia zao ziko karibu, jana nipo chumbani na shemeji yenu alikua anaangalia tamthilia ya kifilipino, baada ya mda sijui nini kilitokea nashangaa analia sana mpaka kawa mwekundu, nikiangalia kule kwenye [emoji342] tv nao wanalia, na alikua ameweka sauti ya juu yani pale chumbani pakawa kama kuna msiba ni vilio tuu.

Namuuliza nini tatizo nashangaa ananikumbatia analia tuu kwa kwikwi, ikabidi nizime tv ndio akanyamaza, nilishangaa sana namuuliza vipi ananiambia ile love story ilimpeleka mbali kihisia.

Hii sijui inakuaje

Sent using Jamii Forums mobile app
Mke wako kuna jamaa kwenye tamthilia anamkubali kuliko wewe .
 
Mi kuna kitabu kinatwa huba...zile page za mwisho dah nililia kimya kimya
 
Back
Top Bottom