Applicant
JF-Expert Member
- Feb 12, 2020
- 1,962
- 1,751
- Thread starter
- #21
HaahahAtakua alikumbuka aliemtoa bikra jinsi alivomtosa akaangukia pua kwako
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HaahahAtakua alikumbuka aliemtoa bikra jinsi alivomtosa akaangukia pua kwako
Ni hatari sana, kwahyo nani akakubembelezaIshawahi kunitokea...mbele ya mama & madogo.
Nyie jamani acheni kitu inaitwa feelings
Hahaha wanasumbua sanaHalafu hawa wa Dada wa hivi wanakuwa na dramas nyingi sana na wanataka mapenz yao wayapeleke kitamthilia zaid
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahyo mabeki 3 tuu ndio wanaangalia tamthilia?Shemeji yetu kama sio beki 3 basi aliwahi kufanya hizo kazi maana ma beki 3 kwa tamthilia za wafilipino huwaelezi kitu
Wanapenda kulia lia sanaNapenda tamthilia lakini siwezi kulia hata kidogo .
Watu wapo emotional na wafilipino ndo wanaongoza kwa kulia kwenye scenes.
Sent using Jamii Forums mobile app
Angelia sanaKama movie ambayo ina behind the scenes tu ilimliza, vipi kama angepata nafasi akasimuliwa matatizo yangu we unafikiri ingekuwaje?
Hizi tamthilia za kifilipino zinawaharibu sana dada zetu.Halafu hawa wa Dada wa hivi wanakuwa na dramas nyingi sana na wanataka mapenz yao wayapeleke kitamthilia zaid
Sent using Jamii Forums mobile app
Pumbafu ni mwingine yule nilimkimbiaa [emoji23]Huyo Dada ndiyo yule alokomaa mikono Pompeo?, kumbe ulimuoa kabisa[emoji3][emoji3][emoji3] safii
Mke wako kuna jamaa kwenye tamthilia anamkubali kuliko wewe .Kweli kuna watu hisia zao ziko karibu, jana nipo chumbani na shemeji yenu alikua anaangalia tamthilia ya kifilipino, baada ya mda sijui nini kilitokea nashangaa analia sana mpaka kawa mwekundu, nikiangalia kule kwenye [emoji342] tv nao wanalia, na alikua ameweka sauti ya juu yani pale chumbani pakawa kama kuna msiba ni vilio tuu.
Namuuliza nini tatizo nashangaa ananikumbatia analia tuu kwa kwikwi, ikabidi nizime tv ndio akanyamaza, nilishangaa sana namuuliza vipi ananiambia ile love story ilimpeleka mbali kihisia.
Hii sijui inakuaje
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna shidaMke wako kuna jamaa kwenye tamthilia anamkubali kuliko wewe .
Hadi kitabu unalia?Mi kuna kitabu kinatwa huba...zile page za mwisho dah nililia kimya kimya