Una uhakika kuwa hakuna alichokifanya Iramba? Au unasema kishabiki tu, katika wabunge wote wakiopita Iramba, Mwigulu kafanya mengi sana kuliko wote, ila hawezi fanya yote. Na hata aje nani hawezi maliza changamoto zote
Mkuu Paskali - a good analyst always, lkn tu naona kama vile na wewe unampigia debe Prof. Kitila. Mie nakuhakikishia sipo kwa yeyote kati ya hao ila naelezea tu uhalisia wa mambo ninavyoona yanaenda. Halafu kumbka Paskali kuwa humu JF huwa ni sehemu ya kufunguka sasa kama Dkt Mwigulu kuna kitu alifanya atumbuliwe unatakiwa uweke wazi hapa sio kufukia fukia!
Maadam aliyemtumbua hakusema, naomba na mimi nisiseme. Maadam umesema anamrudisha, na tusubiri arudi.
Lakini ikitokea Mwigulu na Kitila kuchukua fomu, Mwigulu anajua atapigwa chini kwasababu yeye tayari ni spent force wakati Kitila ni fresh blood.
Mwigulu ni a liability, hana msaada wowote kwa Magufuli, wakati Kitila is an asset ndani ya new cabinet.
Mwigulu ni mwanasiasa wa siasa za mazoea, ni CCM stalwart, yaani mkereketwa na Mzalendo wa kujionesha kwa ma scarf, tai za bendera ya taifa na kofia kama ya Che Guevera lakini kwenye implementation ni zero, wakati Kitila ni political strategist mkimya, maneno mafupi na vitendo virefu.
Hata mimi ile 2015 nilikuwa na very high hopes na Mwigulu
Wanabodi, Tuweke ushabiki pembeni, kati ya watangaza nia watatu kati ya jana na leo, Mwigulu Lameck Nchemba ndiye mgombea who is the most bonafide genuine so far, ukimuangalia huku unamsikiliza, utaiona his genuinety kutoka moyoni mwake 'to practice what he preach' kwa aliyoyasema yanaonekana...
Wanabodi, Katika zoezi la kusaka vyeti bandia, kuna watu wanashindwa kutofautisha kati ya vyeti bandia na majina bandia, Vyeti vya Mwigulu Nchemba sio vyeti bandia, yaani vyeti fake, ni vyeti halali na halisi kabisa, bonafide genuine, ila majina ya Mwigulu Nchemba ndio majina bandia!. Cheti...
Mwigulu Mchemba Naibu Katibu CCM Bara, Mbunge Jamhuri ya Muungano Tanzania Mwigulu Mchemba mhusika mkuu Movie ya Rwekatare Mwigulu Mchemba Mhusika Mkuu katika kashfa ya filamu inayodaiwa kuwa ya ugaidi ambaye amejipambanua na kutangaza hadharani kupitia: Chombo cha habari TV Desemba...
Amekuja leo Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara - Mangula Iramba. Nipo hapa kikaoni anaongea - nilichogundua kumbe alikuwa na mawasiliano ya karibu na Dkt Mwigulu na Dk. Mwigulu bila wasiwasi akawaalika Timu yake iliyopo hapa Jimboni wahudhurie kikao hiki muhimu.
Inavyoonekana baada ya kushambuliwa sana mitandaoni na Dk. Mwigulu kujiondoa ufahamu na kuendelea kuitetea Serikali ya JPM basi JPM ameamua kumrudisha katika Timu yake kwa chini chini Dk Mwigulu na tayari Makamu Mwenyekiti Mangula anadhuru maeneo mbalimbali kuwarudisha kundini hawa ambao aliwatumbua wkt wa awamu yake hii ya tano.
JPM pia ameamua kuanza kurudisha umoja kwenye Chama baada ya kuona dalili za wengi kukumbilia upinzani iwapo mambo yataenda sivyo. Jambo hili halifanyiki kwa Mwigulu tu lkn pia kule kote ambako Mawaziri walipinduliwa na wakabaki kuwa loyal kwa JPM wanaendelea kutembelewa na kupewa nafuu na matumaini kuwa watarudi na wasiwe na wasiwasi.
Kutokana na ujio wa Mangula kujikita zaidi kwa Dk. Mwigulu na Prof. Kitila Mkumbo kuachwa achwa nyuma inaashiria wazi kuwa Prof. Kitila anapaswa awe mtulivu tu akubali kumpigia debe Dk. Mwigulu ili angalau aendelee kubakiza nafasi yake baada ya Uchaguzi huu. Kwa upande wangu naona Prof.
Kitila akiacha kuchukua Fomu aakuwa ameonesha udhaifu wa hali ya juu kwa kuwa yeye bado ana nafasi na isitoshe hata akiporwa Ukatibu Mkuu atarudi Chuo kufundisha na au hata kwenda mahali pengine popote ambapo pana maslahi mazuri zaidi. Hana cha kupoteza ila anaweza kujidhalilisha asipokuwa makini.
He,Mayu naona unalegea Kama mlenda wa Simbalungwala...niliekwambia CCM,itashinda uchaguzi kirahisi Sana Iramba Kama Hali ya kisiasa itaendelea kuwa hivi ilivyo!nikasisitiza Ujinga,wa Iramba ndio silaha ,na kinara wa kuendeleza ujinga huo Ni Mwigulu...kwa taarifa yako.kuna wajinga Kama asilimia 60 ambao Ni wafuasi wa Mwigulu!
Kwa kuwa Mwigulu Hana mbadala wa CCM,Hana ujanja Ni lazima awe mpole!
Kwa kifupi CCM kuna uhaba wa viongozi wa maana ndiyo maana kuna wakati inabidi afanye marudio kwa kuteuwa walewale aliyewatumbua baada ya kufanya madudu mfano mzuri Simbachawene.
Pia kutokana na upungufu wa viongozi wa maana huko CCM ndiyomaana Baba Jurgen anawateuwa pia wale ng'ombe waliokatwa mkia mfano mzuri ni Kitila, Msando, kafulila a.k.a kima, Katambi a.k.a karai n.k
Pia ukaribu wa Mwigulu Nchemba na Mangula au na Baba Jurgen ni kwasababu tu wanahitaji matumizi ya usavimbi wake yanayohitajika kwenye kampeni za 2020 na sio kwamba wanampenda saana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata mimi naliona hili. Ndiyo maana kiukweli kabisa Mwigulu tayari ameshaanza Kampeni na nina ushahidi huo - muda ukifika nitautoa huo ushahidi - kwa sasa namwacha kwanza anambwelambwela na kujaribu kupata wafuasi zaidi. Sasa kwa kuwa kishajikusanyia watu ndiyo maana CCM kinaona wasipomweka anaweza akabadilisha watu namna watavyoichukulia CCM. Mwigulu kiukweli yupo very strategic - nasema hivi sio kama nampigia debe - mie binafsi ningependa akae nje ya siasa mpaka 2025 may be aje ajaribu tena Urais.
He,Mayu naona unalegea Kama mlenda wa Simbalungwala...niliekwambia CCM,itashinda uchaguzi kirahisi Sana Iramba Kama Hali ya kisiasa itaendelea kuwa hivi ilivyo!nikasisitiza Ujinga,wa Iramba ndio silaha ,na kinara wa kuendeleza ujinga huo Ni Mwigulu...kwa taarifa yako.kuna wajinga Kama asilimia 60 ambao Ni wafuasi wa Mwigulu!
Kwa kuwa Mwigulu Hana mbadala wa CCM,Hana ujanja Ni lazima awe mpole!
Mayu kwanza habari ya Kyalosangi? Simbalungwala hadi Kizaga pako safi kabisa. Mayu natamani utokeze hata wewe tu sasa uchukue Fomu tumtoe huyu Mlewa Madaraka Dkt. Mwigulu. Tatizo huwezi jitokeza! Hata hivyo nakubaliana na wewe kuwa Iramba tumelala sana. Jamaa wakipata madaraka basi wanaanza siasa za Kitaifa wanashindwa hata kuunganisha watu wajitolee kwa ajili ya Iramba yao. Dkt. Mwigulu anaendelea na Kampeni na Prof. Kitila kaufyata baada ya Rais kutishia aliowateua kwa nafasi za kiutendaji wakienda siasa anawafyeeeekelea mbaliiii! Nani sasa aje Iramba mbadala mayu ili tusonge mbele. Tunabaki na siasa zile zile - watu makini kama wewe hawachukui Fomu, Why?
Maadam aliyemtumbua hakusema, naomba na mimi nisiseme. Maadam umesema anamrudisha, na tusubiri arudi.
Lakini ikitokea Mwigulu na Kitila kuchukua fomu, Mwigulu anajua atapigwa chini kwasababu yeye tayari ni spent force wakati Kitila ni fresh blood.
Mwigulu ni a liability, hana msaada wowote kwa Magufuli, wakati Kitila is an asset ndani ya new cabinet.
Mwigulu ni mwanasiasa wa siasa za mazoea, ni CCM stalwart, yaani mkereketwa na Mzalendo wa kujionesha kwa ma scarf, tai za bendera ya taifa na kofia kama ya Che Guevera lakini kwenye implementation ni zero, wakati Kitila ni political strategist mkimya, maneno mafupi na vitendo virefu.
Hata mimi ile 2015 nilikuwa na very high hopes na Mwigulu
Wanabodi, Tuweke ushabiki pembeni, kati ya watangaza nia watatu kati ya jana na leo, Mwigulu Lameck Nchemba ndiye mgombea who is the most bonafide genuine so far, ukimuangalia huku unamsikiliza, utaiona his genuinety kutoka moyoni mwake 'to practice what he preach' kwa aliyoyasema yanaonekana...
Wanabodi, Katika zoezi la kusaka vyeti bandia, kuna watu wanashindwa kutofautisha kati ya vyeti bandia na majina bandia, Vyeti vya Mwigulu Nchemba sio vyeti bandia, yaani vyeti fake, ni vyeti halali na halisi kabisa, bonafide genuine, ila majina ya Mwigulu Nchemba ndio majina bandia!. Cheti...
Mwigulu Mchemba Naibu Katibu CCM Bara, Mbunge Jamhuri ya Muungano Tanzania Mwigulu Mchemba mhusika mkuu Movie ya Rwekatare Mwigulu Mchemba Mhusika Mkuu katika kashfa ya filamu inayodaiwa kuwa ya ugaidi ambaye amejipambanua na kutangaza hadharani kupitia: Chombo cha habari TV Desemba...
Paskali mambo yamebadilika kuanzia leo naona. Mangula kawa karibu sana na Mwigulu kuliko hata wale viongozi wa Chama wa Wilaya. Kuna kitu hapa. Hata hivyo mwenyewe pia anakiri sasa mambo yanaenda murua na inawezekana kama kuna makosa aliyafanya kishayaombea msamaha.
Mwigulu mwenye wafuasi wengi zaidi kuzidi Prof. Kitila ambaye ni kama amepigwa PIN - hawezi kufurukuta kwa kuwa tayari kishapata fadhila za Mkuu na kilichobaki kwake ni kuhakikishiwa nafasi yake. Dkt.
Ccm hata tukiliteua jiwe litapita tu achana na ramli chonganishi
Kama makamu mwenyekiti anafanya ziara jimboni mbunge lazima awepo,unataka kitila aambate na makamu kama nani
Paskali mambo yamebadilika kuanzia leo naona. Mangula kawa karibu sana na Mwigulu kuliko hata wale viongozi wa Chama wa Wilaya. Kuna kitu hapa. Hata hivyo mwenyewe pia anakiri sasa mambo yanaenda murua na inawezekana kama kuna makosa aliyafanya kishayaombea msamaha.
Amekuja leo Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara - Mangula Iramba. Nipo hapa kikaoni anaongea - nilichogundua kumbe alikuwa na mawasiliano ya karibu na Dkt Mwigulu na Dk. Mwigulu bila wasiwasi akawaalika Timu yake iliyopo hapa Jimboni wahudhurie kikao hiki muhimu.
Inavyoonekana baada ya kushambuliwa sana mitandaoni na Dk. Mwigulu kujiondoa ufahamu na kuendelea kuitetea Serikali ya JPM basi JPM ameamua kumrudisha katika Timu yake kwa chini chini Dk Mwigulu na tayari Makamu Mwenyekiti Mangula anadhuru maeneo mbalimbali kuwarudisha kundini hawa ambao aliwatumbua wkt wa awamu yake hii ya tano.
JPM pia ameamua kuanza kurudisha umoja kwenye Chama baada ya kuona dalili za wengi kukumbilia upinzani iwapo mambo yataenda sivyo. Jambo hili halifanyiki kwa Mwigulu tu lkn pia kule kote ambako Mawaziri walipinduliwa na wakabaki kuwa loyal kwa JPM wanaendelea kutembelewa na kupewa nafuu na matumaini kuwa watarudi na wasiwe na wasiwasi.
Kutokana na ujio wa Mangula kujikita zaidi kwa Dk. Mwigulu na Prof. Kitila Mkumbo kuachwa achwa nyuma inaashiria wazi kuwa Prof. Kitila anapaswa awe mtulivu tu akubali kumpigia debe Dk. Mwigulu ili angalau aendelee kubakiza nafasi yake baada ya Uchaguzi huu. Kwa upande wangu naona Prof.
Kitila akiacha kuchukua Fomu aakuwa ameonesha udhaifu wa hali ya juu kwa kuwa yeye bado ana nafasi na isitoshe hata akiporwa Ukatibu Mkuu atarudi Chuo kufundisha na au hata kwenda mahali pengine popote ambapo pana maslahi mazuri zaidi. Hana cha kupoteza ila anaweza kujidhalilisha asipokuwa makini.
Amekuja leo Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara - Mangula Iramba. Nipo hapa kikaoni anaongea - nilichogundua kumbe alikuwa na mawasiliano ya karibu na Dkt Mwigulu na Dk. Mwigulu bila wasiwasi akawaalika Timu yake iliyopo hapa Jimboni wahudhurie kikao hiki muhimu.
Inavyoonekana baada ya kushambuliwa sana mitandaoni na Dk. Mwigulu kujiondoa ufahamu na kuendelea kuitetea Serikali ya JPM basi JPM ameamua kumrudisha katika Timu yake kwa chini chini Dk Mwigulu na tayari Makamu Mwenyekiti Mangula anadhuru maeneo mbalimbali kuwarudisha kundini hawa ambao aliwatumbua wkt wa awamu yake hii ya tano.
JPM pia ameamua kuanza kurudisha umoja kwenye Chama baada ya kuona dalili za wengi kukumbilia upinzani iwapo mambo yataenda sivyo. Jambo hili halifanyiki kwa Mwigulu tu lkn pia kule kote ambako Mawaziri walipinduliwa na wakabaki kuwa loyal kwa JPM wanaendelea kutembelewa na kupewa nafuu na matumaini kuwa watarudi na wasiwe na wasiwasi.
Kutokana na ujio wa Mangula kujikita zaidi kwa Dk. Mwigulu na Prof. Kitila Mkumbo kuachwa achwa nyuma inaashiria wazi kuwa Prof. Kitila anapaswa awe mtulivu tu akubali kumpigia debe Dk. Mwigulu ili angalau aendelee kubakiza nafasi yake baada ya Uchaguzi huu. Kwa upande wangu naona Prof.
Kitila akiacha kuchukua Fomu aakuwa ameonesha udhaifu wa hali ya juu kwa kuwa yeye bado ana nafasi na isitoshe hata akiporwa Ukatibu Mkuu atarudi Chuo kufundisha na au hata kwenda mahali pengine popote ambapo pana maslahi mazuri zaidi. Hana cha kupoteza ila anaweza kujidhalilisha asipokuwa makini.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.