Chikenpox
JF-Expert Member
- Oct 15, 2022
- 784
- 1,246
Nilikuwa naamini Mwigulu Nchemba na wale wale wa kingereza cha is and was kama cha JPM cha kutamka catalyst kila pahala kana kwamba anajua neno hilohilo tu. Jana nilimsikia Nchemba akitema madini kule Ulaya sikuamini macho yangu.
Polepole anasubiri maana nilimsikia kule Malawi nikaona hamna kitu. Duh Nchemba umeliheshimisha taifa nimeamini ule msemo kwamba don't judge the book from its cover. Niliamini wachumi wengi Wana kingereza cha hivyo kama cha Lipumba.
Polepole anasubiri maana nilimsikia kule Malawi nikaona hamna kitu. Duh Nchemba umeliheshimisha taifa nimeamini ule msemo kwamba don't judge the book from its cover. Niliamini wachumi wengi Wana kingereza cha hivyo kama cha Lipumba.