Kumbe Mwigulu Nchemba ni so fluent in English! Nilikuwa sijui maana nina kasumba fulani hivi

Kumbe Mwigulu Nchemba ni so fluent in English! Nilikuwa sijui maana nina kasumba fulani hivi

Machawa safari hii mnakazi sana ,kusafisha kinyesi kuwa cake shughuli ipo.

Mbwa nyie mnaakili gani kama chama chenu CHADEMA mpaka leo mwenyekiti wenu ni yule yule and mnajiita chama cha Demokrasia mnaakili au vichwa vimejaa mavi au mwenye akili ni mmoja tu ? Nendeni Mbeya mle za uso tena
 
Nimesikitika sana. Na sijui kwa nini nimesikitika.
 
Hana fluency yoyote kwenye kiingereza huyo madelu, nilimsikia jana anaongea kwenye kikao na mabeberu wa uingereza anaungaunga tu maneno na lafudhi mbovu ya kilugha, sidhani kama hao waingereza waliambulia chochote.......
Mkuu una kasumba nae?.
je wewe unaweza?.
 
Back
Top Bottom