Kiingereza kingi kama kichwani hamna kitu ni sawa na kuongea kijaluo tuu
Kingereza kingi na kichwani yupo smart
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kiingereza kingi kama kichwani hamna kitu ni sawa na kuongea kijaluo tuu
Machawa safari hii mnakazi sana ,kusafisha kinyesi kuwa cake shughuli ipo.Kingereza kingi na kichwani yupo smart
Machawa safari hii mnakazi sana ,kusafisha kinyesi kuwa cake shughuli ipo.
Nimesikitika sana. Na sijui kwa nini nimesikitika.
Mkuu una kasumba nae?.Hana fluency yoyote kwenye kiingereza huyo madelu, nilimsikia jana anaongea kwenye kikao na mabeberu wa uingereza anaungaunga tu maneno na lafudhi mbovu ya kilugha, sidhani kama hao waingereza waliambulia chochote.......
Mkuu una kasumba nae?.
je wewe unaweza?.
😆🙌🙌Mkuu. Lugha unayozungumza ndotoni ndo lugha unayopaswa kuwa fluent nayo.