Kumbe Mwigulu Nchemba ni so fluent in English! Nilikuwa sijui maana nina kasumba fulani hivi

Kumbe Mwigulu Nchemba ni so fluent in English! Nilikuwa sijui maana nina kasumba fulani hivi

Upo sahihi kabisa English isiwe kigezo cha kutufanya tuonekana tunajua au hutujui ni lugha kama lugha nyingine tu. Tuwafundishe wanetu njinsi ya Kutengeneza remote na toy cars na Vinginevyo vitu kwa kutumia lugha yetu Inawezekana wajameen. Speaking English doesn't make one to be smart period
Lakini kama alifundishwa darasani nae ni mtoto wa Kinyiramba kutoka kijijini na amewaleza kukimudu kwanini kisiwe kigezo? Usilimit mboni yako mzee, huenda ulikusudia kutazama vyema lakini hujaona vyema, Pole sana
 
Another enslaved mind.

Mkuu. Lugha unayozungumza ndotoni ndo lugha unayopaswa kuwa fluent nayo. Usiwe na kasumba kwamba kuzungumza lugha ya opressor ndiyo ukomavu na ujuvi wa akili.

Tunaipima kazi yoyote kwa mikakati na matokeo.

Kiufupi umechemka
"Another enslaved mind"? Hii si lugha ya oppressor!! Au ndio ule msemo "walie ndege wote akilia bundi uchuro" Hahaha huyo mtoto wa maskini kumudu hiyo lugha ni wazi kichwani yuko vyema ukizingatia si lugha yake ya kwanza na si lugha mama, umenikumbusha yule mvuta bangi aliimba " lugha ngeni za nini kwenye muziki wa Nyumbani? Take care utapotea" hahah uwe na kwaresma njema
 
Nilikuwa naamini Mwigulu Nchemba na wale wale wa kingereza cha is and was kama cha JPM cha kutamka catalyst kila pahala kana kwamba anajua neno hilohilo tu. Jana nilimsikia Nchemba akitema madini kule Ulaya sikuamini macho yangu.

Polepole anasubiri maana nilimsikia kule Malawi nikaona hamna kitu. Duh Nchemba umeliheshimisha taifa nimeamini ule msemo kwamba don't judge the book from its cover. Niliamini wachumi wengi Wana kingereza cha hivyo kama cha Lipumba.


Lete hiyo clip tumsikie sisi sote humu.
 
Does being fluent in a foreign Language make him a Good Leader?
 
Nilikuwa naamini Mwigulu Nchemba na wale wale wa kingereza cha is and was kama cha JPM cha kutamka catalyst kila pahala kana kwamba anajua neno hilohilo tu. Jana nilimsikia Nchemba akitema madini kule Ulaya sikuamini macho yangu.

Polepole anasubiri maana nilimsikia kule Malawi nikaona hamna kitu. Duh Nchemba umeliheshimisha taifa nimeamini ule msemo kwamba don't judge the book from its cover. Niliamini wachumi wengi Wana kingereza cha hivyo kama cha Lipumba.
Hivi Kuna uhusiano wa moja Kwa moja kati ya umahiri kwenye lugha tena ya kigeni na ubora elimu!!?
 
Kujua language ni jambo moja, lakini cha muhimu zaidi ni Knowledge , hata huko wingereza pamoja na kujua kingereza Mambumbu na matahira kichwani huyakosi. Language is nothing bila knowledge.
 
Kujua language ni jambo moja, lakini cha muhimu zaidi ni Knowledge , hata huko wingereza pamoja na kujua kingereza Mambumbu na matahira kichwani huyakosi. Language is nothing bila knowledge.
How can you acquire knowledge without language as a transmission tool?
 
"Another enslaved mind"? Hii si lugha ya oppressor!! Au ndio ule msemo "walie ndege wote akilia bundi uchuro" Hahaha huyo mtoto wa maskini kumudu hiyo lugha ni wazi kichwani yuko vyema ukizingatia si lugha yake ya kwanza na si lugha mama, umenikumbusha yule mvuta bangi aliimba " lugha ngeni za nini kwenye muziki wa Nyumbani? Take care utapotea" hahah uwe na kwaresma njema
Nashukuru kwa majibu ya kina.

Lakini kwaresma hainihusu mkuu
 
Fluent English ni mavi mavi tu!
Ukiwa na wisdom ana knowledge ndio umemaliza walahi!
Vinginevyo ni ubwbwa tu!
Ulimsikia fatma karume? Amesha kaa Tanzania [emoji1241] more than 20years, baada ya kumaliza shule, lakini akiongea anajifanya kama mzungu wa uwingereza, totally idiotic mind walahi!
Umeongea pointi mkuu
 
Hana fluency yoyote kwenye kiingereza huyo madelu, nilimsikia jana anaongea kwenye kikao na mabeberu wa uingereza anaungaunga tu maneno na lafudhi mbovu ya kilugha, sidhani kama hao waingereza waliambulia chochote.......

Wanaija hawaelewani na wazungu acha upimbi
 
Back
Top Bottom