Shukuru muyobhozi
Senior Member
- Mar 12, 2023
- 151
- 175
Lakini kama alifundishwa darasani nae ni mtoto wa Kinyiramba kutoka kijijini na amewaleza kukimudu kwanini kisiwe kigezo? Usilimit mboni yako mzee, huenda ulikusudia kutazama vyema lakini hujaona vyema, Pole sanaUpo sahihi kabisa English isiwe kigezo cha kutufanya tuonekana tunajua au hutujui ni lugha kama lugha nyingine tu. Tuwafundishe wanetu njinsi ya Kutengeneza remote na toy cars na Vinginevyo vitu kwa kutumia lugha yetu Inawezekana wajameen. Speaking English doesn't make one to be smart period