Huo tunaita ulimbukeni wa lughaFluent English ni mavi mavi tu!
Ukiwa na wisdom ana knowledge ndio umemaliza walahi!
Vinginevyo ni ubwbwa tu!
Ulimsikia fatma karume? Amesha kaa Tanzania [emoji1241] more than 20years, baada ya kumaliza shule, lakini akiongea anajifanya kama mzungu wa uwingereza, totally idiotic mind walahi!
Umenena ! Kiingereza ni lugha kama lugha nyingine tu ! Ukizaliwa huko utajua kiingereza hata bila kwenda shule ! Kama ulivyosema Wisdom na knowledge ndio mpango mzima !!Fluent English ni mavi mavi tu!
Ukiwa na wisdom ana knowledge ndio umemaliza walahi!
Vinginevyo ni ubwbwa tu!
Ulimsikia fatma karume? Amesha kaa Tanzania [emoji1241] more than 20years, baada ya kumaliza shule, lakini akiongea anajifanya kama mzungu wa uwingereza, totally idiotic mind walahi!
Another enslaved mind.Nilikuwa naamini Mwigulu Nchemba na wale wale wa kingereza cha is and was kama cha JPM cha kutamka catalyst kila Pahala kana kwamba anajua neno hilohilo tu. Jana nilimsikia Nchemba akitema madini kule Ulaya sikuamini macho yangu.
Polepole anasubiri mana nilimsikia kule Malawi nikaona hamna kitu. Duh Nchemba umeliheshimisha taifa nimeamini ule msemo kwamba don't judge the book from its cover. Niliamini wachumi wengi Wana kingereza cha hivyo kama cha Lipumba.
Upo sahihi kabisa English isiwe kigezo cha kutufanya tuonekana tunajua au hutujui ni lugha kama lugha nyingine tu. Tuwafundishe wanetu njinsi ya Kutengeneza remote na toy cars na Vinginevyo vitu kwa kutumia lugha yetu Inawezekana wajameen. Speaking English doesn't make one to be smart periodFluent English ni mavi mavi tu!
Ukiwa na wisdom ana knowledge ndio umemaliza walahi!
Vinginevyo ni ubwbwa tu!
Ulimsikia fatma karume? Amesha kaa Tanzania [emoji1241] more than 20years, baada ya kumaliza shule, lakini akiongea anajifanya kama mzungu wa uwingereza, totally idiotic mind walahi!
Doesn't make one smart siyo doesn't make one to be smart. Ndugu jifunze kingereza utachekwaUpo sahihi kabisa English isiwe kigezo cha kutufanya tuonekana tunajua au hutujui ni lugha kama lugha nyingine tu. Tuwafundishe wanetu njinsi ya Kutengeneza remote na toy cars na Vinginevyo vitu kwa kutumia lugha yetu Inawezekana wajameen. Speaking English doesn't make one to be smart period
Fact!Hiyo kimombo chake kingekua na maana kama angikitumia kutafuta vyanzo vipya vya mapato na kodi sio kuongeza mzingo wa watanzania na deni la taifa
View attachment 2563616
Doesn't make one smart siyo doesn't make one to be smart. Ndugu jifunze kingereza utachekwa
You cannot say I have made you to be be my wife, no. The correct English is " I have made you my wife. It's like you can't say 'bring to me a knife". The correct English is "bring me a knife".Sasa mim na wewe nani hajui English ndugu? Doesn't make one smart real? Utachekwa wewe
Ombaomba wa US wanalala ndani ya maboksi wakiamka asubuhi wanatema mayai unaweza kudhani unaongea na mwalimu wa chuo kikuu.Hiyo kimombo chake kingekua na maana kama angikitumia kutafuta vyanzo vipya vya mapato na kodi sio kuongeza mzingo wa watanzania na deni la taifa
View attachment 2563616