Shukuru muyobhozi
Senior Member
- Mar 12, 2023
- 151
- 175
Lakini kama alifundishwa darasani nae ni mtoto wa Kinyiramba kutoka kijijini na amewaleza kukimudu kwanini kisiwe kigezo? Usilimit mboni yako mzee, huenda ulikusudia kutazama vyema lakini hujaona vyema, Pole sanaUpo sahihi kabisa English isiwe kigezo cha kutufanya tuonekana tunajua au hutujui ni lugha kama lugha nyingine tu. Tuwafundishe wanetu njinsi ya Kutengeneza remote na toy cars na Vinginevyo vitu kwa kutumia lugha yetu Inawezekana wajameen. Speaking English doesn't make one to be smart period
"Another enslaved mind"? Hii si lugha ya oppressor!! Au ndio ule msemo "walie ndege wote akilia bundi uchuro" Hahaha huyo mtoto wa maskini kumudu hiyo lugha ni wazi kichwani yuko vyema ukizingatia si lugha yake ya kwanza na si lugha mama, umenikumbusha yule mvuta bangi aliimba " lugha ngeni za nini kwenye muziki wa Nyumbani? Take care utapotea" hahah uwe na kwaresma njemaAnother enslaved mind.
Mkuu. Lugha unayozungumza ndotoni ndo lugha unayopaswa kuwa fluent nayo. Usiwe na kasumba kwamba kuzungumza lugha ya opressor ndiyo ukomavu na ujuvi wa akili.
Tunaipima kazi yoyote kwa mikakati na matokeo.
Kiufupi umechemka
Nilikuwa naamini Mwigulu Nchemba na wale wale wa kingereza cha is and was kama cha JPM cha kutamka catalyst kila pahala kana kwamba anajua neno hilohilo tu. Jana nilimsikia Nchemba akitema madini kule Ulaya sikuamini macho yangu.
Polepole anasubiri maana nilimsikia kule Malawi nikaona hamna kitu. Duh Nchemba umeliheshimisha taifa nimeamini ule msemo kwamba don't judge the book from its cover. Niliamini wachumi wengi Wana kingereza cha hivyo kama cha Lipumba.
Does being fluent in a foreign Language make him a Good Leader?
Hivi Kuna uhusiano wa moja Kwa moja kati ya umahiri kwenye lugha tena ya kigeni na ubora elimu!!?Nilikuwa naamini Mwigulu Nchemba na wale wale wa kingereza cha is and was kama cha JPM cha kutamka catalyst kila pahala kana kwamba anajua neno hilohilo tu. Jana nilimsikia Nchemba akitema madini kule Ulaya sikuamini macho yangu.
Polepole anasubiri maana nilimsikia kule Malawi nikaona hamna kitu. Duh Nchemba umeliheshimisha taifa nimeamini ule msemo kwamba don't judge the book from its cover. Niliamini wachumi wengi Wana kingereza cha hivyo kama cha Lipumba.
Thread closed,thenOne who excells in one thing is likely to excel in many other things......... Plato
How can you acquire knowledge without language as a transmission tool?Kujua language ni jambo moja, lakini cha muhimu zaidi ni Knowledge , hata huko wingereza pamoja na kujua kingereza Mambumbu na matahira kichwani huyakosi. Language is nothing bila knowledge.
......but a very good measure of one's degree of interactivity with the outside world; the rest of the wordHiyo kimombo chake kingekua na maana kama angikitumia kutafuta vyanzo vipya vya mapato na kodi sio kuongeza mzingo wa watanzania na deni la taifa
View attachment 2563616
Nashukuru kwa majibu ya kina."Another enslaved mind"? Hii si lugha ya oppressor!! Au ndio ule msemo "walie ndege wote akilia bundi uchuro" Hahaha huyo mtoto wa maskini kumudu hiyo lugha ni wazi kichwani yuko vyema ukizingatia si lugha yake ya kwanza na si lugha mama, umenikumbusha yule mvuta bangi aliimba " lugha ngeni za nini kwenye muziki wa Nyumbani? Take care utapotea" hahah uwe na kwaresma njema
[emoji38][emoji38][emoji38], nipo nao hapa mitaa ya Skid Row Down Town, yaani ni ngumu kuamini kama hii ni USA.Ombaomba wa US wanalala ndani ya maboksi wakiamka asubuhi wanatema mayai unaweza kudhani unaongea na mwalimu wa chuo kikuu.
Umeongea pointi mkuuFluent English ni mavi mavi tu!
Ukiwa na wisdom ana knowledge ndio umemaliza walahi!
Vinginevyo ni ubwbwa tu!
Ulimsikia fatma karume? Amesha kaa Tanzania [emoji1241] more than 20years, baada ya kumaliza shule, lakini akiongea anajifanya kama mzungu wa uwingereza, totally idiotic mind walahi!
Hana fluency yoyote kwenye kiingereza huyo madelu, nilimsikia jana anaongea kwenye kikao na mabeberu wa uingereza anaungaunga tu maneno na lafudhi mbovu ya kilugha, sidhani kama hao waingereza waliambulia chochote.......
Hiyo kimombo chake kingekua na maana kama angikitumia kutafuta vyanzo vipya vya mapato na kodi sio kuongeza mzingo wa watanzania na deni la taifa
View attachment 2563616