Mnada wa Mhunze
Senior Member
- Mar 1, 2023
- 168
- 819
Ni JPM alipokuwa akiunguruma kwa hasira mbele ya wote waimba nyimbo na mapambio.
Ajabu ni kwamba hata mjomba wa jamaa zetu alikuwa hapo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ninakubaliana nawe kuwa wote ni hao hao, tena zaidi kwa wengine wao; ila ukichukua tu hicho kipande cha maneno yaliyosemwa hapo na kuacha matakataka mengine pembeni; hayo maneno yana ukweli mkubwa sana.Uzembe wa Samia hauhalalishi Ukatili na uvunjaji wa katiba wa JPM
Wote ni haohao tu, kutoka katika chama kilekile kilichofeli
"...alikera sana", na sasa kuna wengine nao wanakera sana pamoja na kwamba hawauwi papo kwa hapo.Huyu Mhutu bora Allah kamchukua alikuwa anakera sana na muuaji.
Hata yeye alikuwa mchawi wa Tanzania...wakati wa kipindi Chake alitudanganya sana..Accacia, Kubwa zaidi alifanya Bunge liwe vikao vya kahawa na umbea! ..DHAMBI KUBWA SANA!View attachment 2650436Ni JPM alipokuwa akiunguruma kwa hasira mbele ya wote waimba nyimbo na mapambio.
Ajabu ni kwamba hata mjomba wa jamaa zetu alikuwa hapo.
acha udwanziView attachment 2650436Ni JPM alipokuwa akiunguruma kwa hasira mbele ya wote waimba nyimbo na mapambio.
Ajabu ni kwamba hata mjomba wa jamaa zetu alikuwa hapo.
ALIONGOZA MSAFARAView attachment 2650436Ni JPM alipokuwa akiunguruma kwa hasira mbele ya wote waimba nyimbo na mapambio.
Ajabu ni kwamba hata mjomba wa jamaa zetu alikuwa hapo.
Ma fi yako mwe.huu wewHuyu Mhutu bora Allah kamchukua alikuwa anakera sana na muuaji.
Mwanasheria ni mshauri tu, hawezi kulazimisha, tizama safari zote Samia anazofanya nje ya nchi hutoona akiambatana na AG kitu ambacho sio rahisi kukiona kwa wenzetu, nadhani ndo sababu majuzi kamteua Masaju kuwa mshauri wake wa kisheria sababu Jaji Feleshi hanunuliki.Ninakubaliana nawe kuwa wote ni hao hao, tena zaidi kwa wengine wao; ila ukichukua tu hicho kipande cha maneno yaliyosemwa hapo na kuacha matakataka mengine pembeni; hayo maneno yana ukweli mkubwa sana.
Nadhani ule muda ambao huwa anafanya mazoezi ya mwili, ungepunguzwa ili apate na muda wa kumsikiliza mtangulizi wake hasa hasa kwa issues za mikataba, uzalendo n.k. Akili pia inahitajinkufanyiwa mazoezi. Ahsante.View attachment 2650436Ni JPM alipokuwa akiunguruma kwa hasira mbele ya wote waimba nyimbo na mapambio.
Ajabu ni kwamba hata mjomba wa jamaa zetu alikuwa hapo.
Ndio yupo hapo si unaona anavyonyooaha shingo lakin ameshaa sahau asubuhi hii halafu ndo rais kwa sasaView attachment 2650436Ni JPM alipokuwa akiunguruma kwa hasira mbele ya wote waimba nyimbo na mapambio.
Ajabu ni kwamba hata mjomba wa jamaa zetu alikuwa hapo.
Tutamkumbuka kwa maovu na uharibifu aliotufanyiamtamkumbuka
Ni kweli hayo maneno yana ukweli mkubwa na usahihi wa kutosha, lakini wanaoyafanya ni wao, hata yeye alikopa hovyo tena mikopo ya kibiashara yenye madhara kwa taifaNinakubaliana nawe kuwa wote ni hao hao, tena zaidi kwa wengine wao; ila ukichukua tu hicho kipande cha maneno yaliyosemwa hapo na kuacha matakataka mengine pembeni; hayo maneno yana ukweli mkubwa sana.
Sawa.Mwanasheria ni mshauri tu, hawezi kulazimisha, tizama safari zote Samia anazofanya nje ya nchi hutoona akiambatana na AG kitu ambacho sio rahisi kukiona kwa wenzetu, nadhani ndo sababu majuzi kamteua Masaju kuwa mshauri wake wa kisheria sababu Jaji Feleshi hanunuliki.