Ni bora kuliko Nchimbi.Je mwenezi anaeongea kama kajaza mate mdomoni
Mlugaluga anamwaga mboga ,wa mjini mwageni ugaliKwa sababu wote ni watoto wa mjini na Makonda ni mlugaluga
Ninajua haumpendi Makonda. Lakin,Munyonge mnyonge na haki yake mpe. Makonda ni mzuri mara 500 kwenye uongoz kuliko Nchimbi na Makalla. Makonda, alivutia watu wengi sana kwenye mikutano yake.Na watu walimkubali. Alikipaisha chama.Mvuto upi? Au anaringiq tako?View attachment 2966814
Mjini na siasa wapi na wapi ❓Kwa sababu wote ni watoto wa mjini na Makonda ni mlugaluga
🤣🤣🙌🏿Mvuto upi? Au anaringiq tako?View attachment 2966814
Ni kweli makala kapooza na atasababisha upinzani upate nguvuNinajua haumpendi Makonda. Lakin,Munyonge mnyonge na haki yake mpe. Makonda ni mzuri mara 500 kwenye uongoz kuliko Nchimbi na Makalla. Makonda, alivutia watu wengi sana kwenye mikutano yake.Na watu walimkubali. Alikipaisha chama.
Kuongoza waTanzania ni rahisi sana!Kule ni kupakana mafuta kwa mgongo wa chupa.
Mr gugu🤣Je mwenezi anaeongea kama kajaza mate mdomoni
Wewe utakuwa haujui maana ya uongoziMakonda ni one man show, yupo kamili...na simu zipo si lazima angempigia simu live nchimbi kama angehitaji msaada wake 😛
Taja kero ambazo makonda ametatua tokea awe mweneziNinajua haumpendi Makonda. Lakin,Munyonge mnyonge na haki yake mpe. Makonda ni mzuri mara 500 kwenye uongoz kuliko Nchimbi na Makalla. Makonda, alivutia watu wengi sana kwenye mikutano yake.Na watu walimkubali. Alikipaisha chama.
Ataongozana na mwehu!!?Namuona Katibu Mkuu wa CCM, Emmanuel Nchimbi yupo bega kwa bega na Katibu mpya wa Uenezi, Amos Makalla
Nakauliza kwa wadau kwa nini anaambatana na Makalla lakini hakuambatana Makonda kipindi chote alipokuwa mwenezi
Nikaambiwa jamaa alimgomea Makonda sababu japo hazijawekwa wazi
Akili timamu zimesaidia nini Taifa hili maskini.Nchimbi ana akili timamu makonda punguani
Akili timamu hata matapeli na wahuni wanazo.
Hata alipokuchafyachafya wewe ni mafanikio, mana mlikuwa mnawaza leo Konda atakuja na jambo gani!Kuna mahali nimesoma ambapo mwandishi ameomba kutajiwa angalao kero tano ambazo Makonda alizipatia ufumbuzi alipokuwa Mwenezi. Jibu halijatolewa. Je, yupo mwenye jibu?, atutajie.
Tuwaache na mambo yaoNamuona Katibu Mkuu wa CCM, Emmanuel Nchimbi yupo bega kwa bega na Katibu mpya wa Uenezi, Amos Makalla
Nakauliza kwa wadau kwa nini anaambatana na Makalla lakini hakuambatana Makonda kipindi chote alipokuwa mwenezi
Nikaambiwa jamaa alimgomea Makonda sababu japo hazijawekwa wazi
Mwenzako yuko tayar kuongoza mkoa hata kwa siku moja! Ili mladi watz wajue jamaa kapita halafu wewe unamuwazia 2030, umechemsha!Akili timamu zimesaidia nini Taifa hili maskini.
Kwa sasa kama sio nguvu ya Majeshi na machawa wahuni Makonda ni zaidi ya CCM .
CCM kama Chama kilicho asi misingi yake ya Ujamaa ,umoja ,mshikamano na kupiga vita rushwa na kutumia Elimu Kwa manufaa ya wote, hakika Bila nguvu ya Dola na katiba ya hovyo Dr. Nchimbi na machimbo yoyote na wahuni wote ndani na nje ya Chama hawakubaliki na hawatakubalika milele kwenye jamii. Makonda ni mtetezi wa Taifa hili na ni mzalendo wa kweli .
Watoto wa maskini wa nchi hii wana Imani kubwa sana na Makonda.
Nikisema watoto wa maskini ni pamoja na wanajeshi ,Polisi,Magereza , Fire , JKT , Walimu ,Wakulima , wafanyabiashara wadogo na wale wakubwa wenye kunyanyaswa Kwa kutishwa na kuonewa Kwa Biashara zao halali. Wote hao wanamatumaini makubwa sana na Makonda kuliko mtu yeyote ndani ya CCM.
Tatizo ninaloliona Kwa Makonda ni kusahau kuwa CCM imetekwa na wahuni . Hakuna mwema ndani ya CCM kunapokuja suala la maslahi . Kuanzia juu mpaka chini . Hawajali mtu Wala utu linapokuja suala la maslahi. Wameiuza nchi Kwa Kwa sababu ya maslahi Yao. Wanakopa Kwa mikataba ya kuliangamiza Taifa na vizazi vya waafrika alimradi wapate rushwa walimbikize Mali pamoja na ukweli kwamba wao wenyewe wana famili ndogo sana. Ni waroho wenye ushetani wa Kila namna mioyoni mwao.
Makonda atambue wazi kuwa ushindi wa CCM na yule mtu Mwenye chawa wengi 2025 ni kiama Kwa Makonda kisiasa .Mana kundi la wahuni lipo upande wa Machawa na ushindi wa CCM utawapa fursa kubwa ya kukamua Dola na madola yote hazina ili wajijengee nguvu kubwa ya 2030 Kwa nguvu ya rushwa ndani na nje ya Chama. Adui Yao mkubwa atakua ni Makonda na wao watakua na nguvu ya kumfanya chochote ili asiweze kupenya 2030.
Usalama na ushindi wa Makonda ni CCM kuanguka Chali 2025 ili upinzani utawale miaka 5 Kisha Makonda aingie Kwa nguvu ya imma 2030 Kwa kura za kishindo mana wapinzani hawana tofauti na Mama katika suala la kulinda rasilimali za umma na kulindana. Adui zake na wahuni wote ndani ya CCM watakosa uelekeo hivyo kundi la Wazalendo ndani ya CCM litahitajika sana kwa watanzania kufikia 2030.
Kwa sasa CCM hii ya machawa haikubaliki na isijaribu kabisa kuiba kura Wala kupindisha uchaguzi . Katiba iheshimiwe kama ilivyoheshimiwa ikampa mtu Fursa ya kuokotaa Nchi na kisha kuiuza Kwa Bei poa Bila kujua thamani yake.
Angekuwa mwehu angekabidhiwa mkoa?Ataongozana na mwehu!!?
Hao ni walewale kina ant-sukuma gangDr. Nchimbi tulikuwa tunamu-overrate sana!
Mwenzako yuko tayar kuongoza mkoa hata kwa siku moja! Ili mladi watz wajue jamaa kapita halafu wewe unamuwazia 2030, umechemsha!
Nchimbi alimuogomba Makonda kuwa ata, mu outshine. Makonda ana mvuto wa watu. Anapendwa kuliko hao wazee , ambao hawana, mvuto. Mambo ni ya kisasa sio ya, kina nchimbi na Makalla hata kuongea tu shida.