Inaonekana Makonda amewakamata vizur, badala mtoe hoja mnaaza matusi.Weka hoja ya msingi tukuone kama ww nawe ni binadamu mwenye akili.Mvuto unaletwa na yale matako yake? Tumia akili we bwege badala ya makalio.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inaonekana Makonda amewakamata vizur, badala mtoe hoja mnaaza matusi.Weka hoja ya msingi tukuone kama ww nawe ni binadamu mwenye akili.Mvuto unaletwa na yale matako yake? Tumia akili we bwege badala ya makalio.
Nafikiri Mungu ni wa wote. Kila kitu ni kwa zamu ndugu yangu. Hiyo ndiyo philosophy ya dunia. Watakuja kufa watu , musiotegemea. Mtabaki midomo wazi. Na watu, wenye mawazo kama yenu, uwezo wenu ni mdogo katika, kufikiria. Kuna mtu mmoja , Magu alipokufa akasema kwa kiburi kuwa Mungu ameamua ugomvi. Hata miaka miwili haikupita, ndugu yake nae akafa. Tuombe uhai tu lakin Mungu ni wa wote.Mkuu Makonda alikuwa anagombea urais?? Wewe mdanganye Samia, atakiona zaidi ya alichokiona Mwendazake hadi akaamua kuweka mpira kwapani na kuondoka nao uwanjani maana mechi ilishamshinda mazima!
Nilishawahi kukuomba unite evidence isiyo na, mashaka kuwa huyu mtu ni muuaji. Ulishindwa kutoa hiyo evidence. Unakimbilia hoja dhaifu kuwa USA walisema. Nikakuuliza swali, USA, waliposema kuwa Sadam Hussein ana silaha za, nyukilia, he walimkuta nazo? Au USA waliposema kuwa Gaddafi ana siraha za nyukilia, je walimkuta nazo?Muuaji apendwe na nani? Labda na wasio na akili au wauaji wenzake.
Muuaji apendwe na nani? Labda na wasio na akili au wauaji wenzake.
Waulize hao waliojinasibu kuwa ni watoto wa mjiniMjini na siasa wapi na wapi ❓
Hayo waambie Makalla na MongelaMlugaluga anamwaga mboga ,wa mjini mwageni ugali
Jibu;Namuona Katibu Mkuu wa CCM, Emmanuel Nchimbi yupo bega kwa bega na Katibu mpya wa Uenezi, Amos Makalla
Nakauliza kwa wadau kwa nini anaambatana na Makalla lakini hakuambatana Makonda kipindi chote alipokuwa mwenezi
Nikaambiwa jamaa alimgomea Makonda sababu japo hazijawekwa wazi
Si ndio hivyo akakataa wasiwe kwenye ziara pamoja?Nchimbi aligoma kuambatana kwenye ziara ya makonda? Au makonda ndio alitakiwa awe kwenye ziara ya Nchimbi.
Let me confirm it to you....Namuona Katibu Mkuu wa CCM, Emmanuel Nchimbi yupo bega kwa bega na Katibu mpya wa Uenezi, Amos Makalla
Nakauliza kwa wadau kwa nini anaambatana na Makalla lakini hakuambatana Makonda kipindi chote alipokuwa mwenezi
Nikaambiwa jamaa alimgomea Makonda sababu japo hazijawekwa wazi
Let me confirm it to you....Namuona Katibu Mkuu wa CCM, Emmanuel Nchimbi yupo bega kwa bega na Katibu mpya wa Uenezi, Amos Makalla
Nakauliza kwa wadau kwa nini anaambatana na Makalla lakini hakuambatana Makonda kipindi chote alipokuwa mwenezi
Nikaambiwa jamaa alimgomea Makonda sababu japo hazijawekwa wazi
Wewe ndiye Kichaa, hayawani, punguani, kiroboto, Makonda ndiye chaguo la watanzania mtu yeyote akilinganishwa naye lazima amshinde kwa hoja. Kaeni na ujinga wenu badala ya kujifunza toka kwa Makonda.Nchimbi hawezi kuongozana na vichaa
Na hiyo ni big failure kwa sababu team hii ndiyo iliyomuundia zengwe Chongolo akaondolewa, na kibaya kabisa haina ushawishi kabisa tena haina ushawishi nasema. Ni team iliyojaa walinda maslahi ya mafisadi na wezi.Let me confirm it to you....
mtendaji mkuu mpya wa cha alipoteuliwa alifanya mazungumzo na alie mteua. na kwamba alishauri kama sharti, ili aifanya kazi hiyo vizuri sana, kwa ufanisi na kwa mafanikio zaid, na hata kazi ikiharibika alaumiwe yeye as party SG. Basi akaomba safu yake iwe kama ilivyo sasa.....
na kwahiyo hapakua na moja kugoma au kususa kufanya kazi na mwingine ndani ya CCM, it was just just mipango tu 🐒
Mamaako ndio aliniambia mkuu, tukiwa tunapiga stori baada ya kumaliza shughuliJibu;
1. Ulimuuliza nani
2. Kwenye kikao gani
3. Wewe kama nani katika kikao hicho
4. Hao wadau ni akina nani hapo UFIPA
5. Ulikuwa umewekewamo au K2 cha Chuga pale kimandolu..
Bure kabisa
Nahisi walikuwa na tofauti zao yeye na Makonda. Hata hii Makonda kutolewa kwenye hicho cheo ni kwa sababu hizohizoNamuona Katibu Mkuu wa CCM, Emmanuel Nchimbi yupo bega kwa bega na Katibu mpya wa Uenezi, Amos Makalla
Nakauliza kwa wadau kwa nini anaambatana na Makalla lakini hakuambatana Makonda kipindi chote alipokuwa mwenezi
Nikaambiwa jamaa alimgomea Makonda sababu japo hazijawekwa wazi
Nchimbi anajitambua hawezi kuandamana na yule majununi.Namuona Katibu Mkuu wa CCM, Emmanuel Nchimbi yupo bega kwa bega na Katibu mpya wa Uenezi, Amos Makalla
Nakauliza kwa wadau kwa nini anaambatana na Makalla lakini hakuambatana Makonda kipindi chote alipokuwa mwenezi
Nikaambiwa jamaa alimgomea Makonda sababu japo hazijawekwa wazi
Sasa mzee hapo ume confirm nilichokisema,Let me confirm it to you....
mtendaji mkuu mpya wa cha alipoteuliwa alifanya mazungumzo na alie mteua. na kwamba alishauri kama sharti, ili aifanya kazi hiyo vizuri sana, kwa ufanisi na kwa mafanikio zaid, na hata kazi ikiharibika alaumiwe yeye as party SG. Basi akaomba safu yake iwe kama ilivyo sasa.....
na kwahiyo hapakua na moja kugoma au kususa kufanya kazi na mwingine ndani ya CCM, it was just just mipango tu 🐒
hakuna failure upande wowote,Na hiyo ni big failure kwa sababu team hii ndiyo iliyomuundia zengwe Chongolo akaondolewa, na kibaya kabisa haina ushawishi kabisa tena haina ushawishi nasema. Ni team iliyojaa walinda maslahi ya mafisadi na wezi.
Bosi Dkt Nchimbi hafai kuwa KM wa Chama kwa hali ilivyo sasa, unakumbuka 2015 tulivyohangaiga wana CCM, ilikuwa ukivaa nguo ya Chama kama umejinyea. Ilihitajika mtu kama Dkt Magufuli ambaye aliacha kabisa kunadi u CCM akawa anajinada kama yeye with rhetoric za wapinzani na wapiga kura Wakamuelewa. So hata sasa Dkt Nchimbi nasema hafai kwenye hiyo nafasi. Ni bora angesubiri kuja kuwa Makamu wa rais tu ila hana ushawishi kwa wapiga kura. Makala ndiyo zero kabisa tena zero afadhali ya Mbowe.hakuna failure upande wowote,
na hapakua na zengwe lolote dhidi ya chongolo. E.Nchimbi alirejeshwa nyumbani kutoka ubalozini not for granted, it was a organized plan 🐒
ushawishi unaupimaje na unaupima wap?
ushawishi wao na ufanisi wao unapimwa kwa kiwango cha ushindi ktka uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu ukilinganisha na waliotangulia na sio vinginevyo 🐒