fimboyaasali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 8,617
- 8,244
ungetupa source ya taarifa yakoNamuona Katibu Mkuu wa CCM, Emmanuel Nchimbi yupo bega kwa bega na Katibu mpya wa Uenezi, Amos Makalla
Nakauliza kwa wadau kwa nini anaambatana na Makalla lakini hakuambatana Makonda kipindi chote alipokuwa mwenezi
Nikaambiwa jamaa alimgomea Makonda sababu japo hazijawekwa wazi
👌👏👍🆒Nchimbi aligoma kuambatana kwenye ziara ya makonda? Au makonda ndio alitakiwa awe kwenye ziara ya Nchimbi.
🤣 🤣 🤣Jambo la ajabu ni kuwa Makonda ndio alikuwa na ushawishi zaidi
👍👌👏🤝🔊Kuna mahali nimesoma ambapo mwandishi ameomba kutajiwa angalao kero tano ambazo Makonda alizipatia ufumbuzi alipokuwa Mwenezi. Jibu halijatolewa. Je, yupo mwenye jibu?, atutajie.
🤣 🤣 🤣Ni bora kuliko Nchimbi.
Yaani ungesikia alivyokuwa anapambwa humu kabla ya Ukatibu Mkuu usingefikiri hana ushawishi kwa wananchi kiasi hiki.
Ukilinganisha umaarufu na ushawishi kwa wananchi; Makonda is numerous times better kuliko Nchimbi.
Simply put: Makonda is hugely popular to Nchimbi and Makala combined.
Mkuu Makonda alikuwa anagombea urais?? Wewe mdanganye Samia, atakiona zaidi ya alichokiona Mwendazake hadi akaamua kuweka mpira kwapani na kuondoka nao uwanjani maana mechi ilishamshinda mazima!Ninajua haumpendi Makonda. Lakin,Munyonge mnyonge na haki yake mpe. Makonda ni mzuri mara 500 kwenye uongoz kuliko Nchimbi na Makalla. Makonda, alivutia watu wengi sana kwenye mikutano yake.Na watu walimkubali. Alikipaisha chama.
Mkuu Makonda huyu huyu, ama unasema mtu mwingine! 🤣 🤣 🤣Akili timamu zimesaidia nini Taifa hili maskini.
Kwa sasa kama sio nguvu ya Majeshi na machawa wahuni Makonda ni zaidi ya CCM .
CCM kama Chama kilicho asi misingi yake ya Ujamaa ,umoja ,mshikamano na kupiga vita rushwa na kutumia Elimu Kwa manufaa ya wote, hakika Bila nguvu ya Dola na katiba ya hovyo Dr. Nchimbi na machimbo yoyote na wahuni wote ndani na nje ya Chama hawakubaliki na hawatakubalika milele kwenye jamii. Makonda ni mtetezi wa Taifa hili na ni mzalendo wa kweli .
Watoto wa maskini wa nchi hii wana Imani kubwa sana na Makonda.
Nikisema watoto wa maskini ni pamoja na wanajeshi ,Polisi,Magereza , Fire , JKT , Walimu ,Wakulima , wafanyabiashara wadogo na wale wakubwa wenye kunyanyaswa Kwa kutishwa na kuonewa Kwa Biashara zao halali. Wote hao wanamatumaini makubwa sana na Makonda kuliko mtu yeyote ndani ya CCM.
Tatizo ninaloliona Kwa Makonda ni kusahau kuwa CCM imetekwa na wahuni . Hakuna mwema ndani ya CCM kunapokuja suala la maslahi . Kuanzia juu mpaka chini . Hawajali mtu Wala utu linapokuja suala la maslahi. Wameiuza nchi Kwa Kwa sababu ya maslahi Yao. Wanakopa Kwa mikataba ya kuliangamiza Taifa na vizazi vya waafrika alimradi wapate rushwa walimbikize Mali pamoja na ukweli kwamba wao wenyewe wana famili ndogo sana. Ni waroho wenye ushetani wa Kila namna mioyoni mwao.
Makonda atambue wazi kuwa ushindi wa CCM na yule mtu Mwenye chawa wengi 2025 ni kiama Kwa Makonda kisiasa .Mana kundi la wahuni lipo upande wa Machawa na ushindi wa CCM utawapa fursa kubwa ya kukamua Dola na madola yote hazina ili wajijengee nguvu kubwa ya 2030 Kwa nguvu ya rushwa ndani na nje ya Chama. Adui Yao mkubwa atakua ni Makonda na wao watakua na nguvu ya kumfanya chochote ili asiweze kupenya 2030.
Usalama na ushindi wa Makonda ni CCM kuanguka Chali 2025 ili upinzani utawale miaka 5 Kisha Makonda aingie Kwa nguvu ya imma 2030 Kwa kura za kishindo mana wapinzani hawana tofauti na Mama katika suala la kulinda rasilimali za umma na kulindana. Adui zake na wahuni wote ndani ya CCM watakosa uelekeo hivyo kundi la Wazalendo ndani ya CCM litahitajika sana kwa watanzania kufikia 2030.
Kwa sasa CCM hii ya machawa haikubaliki na isijaribu kabisa kuiba kura Wala kupindisha uchaguzi . Katiba iheshimiwe kama ilivyoheshimiwa ikampa mtu Fursa ya kuokotaa Nchi na kisha kuiuza Kwa Bei poa Bila kujua thamani yake.
🤣 🤣 🤣Hata ungekiwa wewe mleta mada ungekubali kuambatana na hamnazo Makonda?
Bashite ndiyo rais wa Arusha we bwege? Tumia akili badala ya makalio. Mnamkuza nyau mdg sn.Hataonekana Arusha mei mosi sikukuu ya wafanyakazi??
Kwa ujumla makonda hana akiliNchimbi hawezi kuongozana na vichaa
Yani sukuma gang bado ina shida sana aisee..Nchimbi aligoma kuambatana kwenye ziara ya makonda? Au makonda ndio alitakiwa awe kwenye ziara ya Nchimbi.
Mvuto unaletwa na yale matako yake? Tumia akili we bwege badala ya makalio.Nchimbi alimuogomba Makonda kuwa ata, mu outshine. Makonda ana mvuto wa watu. Anapendwa kuliko hao wazee , ambao hawana, mvuto. Mambo ni ya kisasa sio ya, kina nchimbi na Makalla hata kuongea tu shida.
Siyo shida ni kwamba hawana akili, we km watu wanamtegemea jinga km Makonda unategemea nini.Yani sukuma gang bado ina shida sana aisee..
Yule ni kichekesho na si ushawishi, wenye akili hakuna ambaye anaweza kushawishiwa na Makonda. Wajinga ndio walikuwa wanamfuataJambo la ajabu ni kuwa Makonda ndio alikuwa na ushawishi zaidi
Alikuwa na ushawishi kwa nani na alimshawishi nani? Nchi hii mapunguani ninwengi sana.Jambo la ajabu ni kuwa Makonda ndio alikuwa na ushawishi zaidi
Ni sahihi na nina kuunga mkono kwa asilimia 100. Yaani mtu mzima anasimama na kusema makonda alikuwa na ushawishi? Kweli mapunguani ni wengi sana.Siyo shida ni kwamba hawana akili, we km watu wanamtegemea jinga km Makonda unategemea nini.
Uliwahi kusoma shule yenye mabweni ya watu wengi?Mbona Makonda kasifiwa alikichemsha chama?!
Umewahi kujiuliza kwa nini Makonda anapendwa sana na watu wasio na elimu, uelewa na wenye wivu?Nchimbi alimuogomba Makonda kuwa ata, mu outshine. Makonda ana mvuto wa watu. Anapendwa kuliko hao wazee , ambao hawana, mvuto. Mambo ni ya kisasa sio ya, kina nchimbi na Makalla hata kuongea tu shida.
Yaan ndugu yangu, kabla ya kuandika hii hoja yako ulifikiria au umekurupuka tu? Umefanya utafiti wapi ukagundua kuwa wanaompenda Makonda hawana elimu , wenye wivu na wasio na, uelewa?Umewahi kujiuliza kwa nini Makonda anapendwa sana na watu wasio na elimu, uelewa na wenye wivu?
Ukiitambua hiyo sababu utamtambua vizuri Makonda, mtu Muongo.
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app