Tetesi: Kumbe Nchimbi aligoma kuambatana kwenye ziara na Makonda?

Sasa mzee hapo ume confirm nilichokisema,
Kama aliomba kuteuliwa mtu mwingine ina maana aliyekuepo hakutaka kufanya naye kazi
suala la kutaka au kutokutaka hakuna, suala apo ni deliverrence.....
I want to deliver what you assigned me on this way, otherwise plz look for some one else.

my priorities will be this and this to achieve this and that, in this manner.

and all members and party official except you chairman and your two deputies, must report to me and work under my directives and supervisions 🐒
 
still unashow chuki binafsi dhidi yao,coz let's face it in reality. How do you measure success or failure of somebody activity in less than 2 months 🐒

I think kiungwana,
kipimo kizuri ni deliverrence ya uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu and not otherwise, ukilinganisha na delivery ya wengine huko awali 🐒

I think CCM imepata miongoni mwa watendaji wa chama bora mno, na I think hata wewe unambariki kwenye nafasi ya umakamu wa Rais hali ya kua huenda yeye anauwaza urais 🐒
 
Ninajua haumpendi Makonda. Lakin,Munyonge mnyonge na haki yake mpe. Makonda ni mzuri mara 500 kwenye uongoz kuliko Nchimbi na Makalla. Makonda, alivutia watu wengi sana kwenye mikutano yake.Na watu walimkubali. Alikipaisha chama.
Unatumia kipimo gani? Yaani ile mikutano ya kisanii ndiyo ijenge CCM? Wewe una akili sawasawa au kichwa chako ni kifuniko cha shingo?
 
Kuna mahali nimesoma ambapo mwandishi ameomba kutajiwa angalao kero tano ambazo Makonda alizipatia ufumbuzi alipokuwa Mwenezi. Jibu halijatolewa. Je, yupo mwenye jibu?, atutajie.
Ujenzi wa stand ya mabasi ya Bukoba,, fuatilia mkuu
 
Wala usisumbuke na huyu Mudawote kwa kuwa yeye ni kijana wa Makonda. Anaishi kwa kuandika posts za kumsifia yule Zerobrain
 
Nchimbi alikuwa ni timu lowasa na anamjuwa makonda jinsi alivyotumika vibaya kumchafua watu hat mm nisingeweza kufanya Kaz na kichaaa Kama makondakata
 
Ni kweli makala kapooza na atasababisha upinzani upate nguvu
Kwani kuna ubaya gani Upinzani ukipata nguvu? Demokrasia ina maana gani? Mwenye sera nzuri ndiyo ajenge ushawishi kwa watu.

Tushindane kwa sera na siyo mabavu kama wakati wa Mwendazake
 
Haya ndio maneno na nyuzi za wabongo 😄
Pigeni kazi na hao waaambieni waongeze ajiri
 
Lazima umsifie Maliyamungu aka Bashite mtoto mpendwa wa Jiwe
 
Utaambatana naye vip na mtu asiyejitambua anachokiongea majukwaani,na ananuka damu za watanzania
 
Chama hakina mvuto tena nafasi ya mwenezi imekwisha pwaya mapema sana..CCM inahitaji mtu makini sana kwenye uendezi design ya Makonda au Polepole mwenye uwezo mkubwa wa kuzungumza na kuvuta hisia za wapiga kura.
Hawa wazee wangepumzika wakaanza kula hela walizohiba kwenye Taifa hili kabla Israel ajawatembelea.Mtu una pressure bado unataka kuanza kuzunguka kwenye hii nchi si kumwita Israel mwenyewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…