Kumbe ndio maana huwa nawaona walimu wenzangu wanatembea na mikeka kama 20 barabarani. Madeni yanaleta stress

Hiyo kukopa hovyo ni tabia mbaya ya mtu na haihusiani na ualimu au walimu! Ninaamini kuna walimu ambao wapo safi kabisa na huru dhidi ya hiyo mikopo ya hovyo! Nipo nao kwenye VICOBA na mambo yao ni mazuri sana...!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…