Kumbe ndio maana Kagame alikuwa na kiburi juu ya Kikwete

Kumbe ndio maana Kagame alikuwa na kiburi juu ya Kikwete

Very interesting indeed.
Mchungaji mtikila kwa kawaida mimi humuona kuwa very colourful ambaye hupenda controversies
lakini ndani ya maandiko haya ameweka kuna facts nyingi tu na Inaelekea amefanya utafiti kwa muda mrefu tu
ila kwa kuwa mara nyingi alikuwa ana 'cry wolf ' na sisi wengine tulikuwa tulikuwa tunamuona kama ni opportunist fulani tu na mtaalam wa kubwabwaja tu.
Kwa hii article ninamuangalia huyu bwana kwa jicho jingine kabisa kwani amenifanya niisome zaidi ya mara 3.
Sijui wanajamvi mnasemaje kuhusu hili lakini mimi ninaona kuna ukweli mwingi kiasi kufanya niamini mengi aliyoaandika

ndugu yangu huwezi kuamini kuna watusi wasio na uzalendo na taifa hili hata kidogo ambao ni wakuu wa idara nyeti hapa nchini, juzi nusura mhutu na mtusi wapigane ofisini kisa mmoja kataja asili ya mwingine , ndugu zangu wazalendo wa kweli na wenye uchungu na taifa hili tuchukue hatua hawa si wakuwalinda hata kidogo!! Matatizo ya nani achinje na nani asichinje wilayani NZEGA yalichochewa zaidi na uhasama kati ya watusi na wahutu, nimefanya utafiti wa kutosha katika hili na sidhani kama serikali yangu imegundua, wananchi wa kawaida ilikuwa ni kufuata mkumbo tu kumbe ni chuki za wahamiaji haramu !!!!!!!!!!!!!!!!!! MUNGU niokoe mimi na taifa langu TANZANIA waamshe wanausalama hasa TISS na serikali yangu inayoonekana kufumbia macho bomu hili.
 
Jamani,mara kadhaa nimekuwa nikitafakari,hivi inakuwaje kanchi kama rwanda kuwa na mkwara mzito wa namna hii kwa tanzania?sasa,baada ya kupitia ripoti ya mchungajimtikila,ambayo hapo mwanzo sikuiamini sana,lakini sasa nimeiamini kwa kiwango fulani baada ya haya kutokea.

kumbe nchi tumeshawauzia watusi kwa kupenda rushwa zetu na uroho wa madaraka?unajua kuna wakati nilikuwa najiuliza,kuwa peter selukamba mbunge wa kigom ni mtutsi,na hii inajulikana kabisaaaaa.diwani wa gungu,mhe,john naye ni mtutsi,na nimtu wa karibu wa kikwete.halafu,mbona kwa mujibu wa ripoti hii,hata nyerere simuelewielewi!!!

sasa,fuatilia hii ripoti ya mtikila utapata ukweli wote,kisha nitaomba mnielimishe zaidi.HII DOCUMENT NI NDEFU,TAKRIBAN PAGE 12,LAKINI INA VITU VINGI NA INTERESTING KIASI AMBACHO,UKIANZA KUISOMA,INAISHA BILA WEWE KUJUA.NIMEIATTACH.PLEASE,PLEASE,PLEASE,READ AND COMMENT.

kahtaan anavyoogopa wachagga kuongoza nchi.
em pata ma-idea hapa kidogo lakini usimwagie huu uzi tindikali...
 
scumbag admin,kwan TUTSI sio watu?acheni maswala ya ubaguzi sote ni watu,tena msipoangalia tutaoa hadi wake zenu..STUPPID.
 
Awe mtusi, mjaluo, muhutu anastahili kuishi tanzania ili mradi awe amefuata sheria.. kuna mtanzania waziri kwenye serikali ya kagame.
 
Hii ni habari inayotingisha kila ubongo wa wenye akili timamu .

Napatwa na hofu sana juu ya uelewa wa watu wanayoipuuza hii habari kirahisi rahisi tu .

Mungu ibariki Tanzania .
 
wamasai tangu lini wamekuwa na mkoa? wanataka kuleta vurugu kama za kilosa na wakulima sasa wamehamishia kwenye siasa kama kule loliondo. OMG!! hawa jamaa ni nomads by nature , ni serikali iliwahurumia ikawalazimisha wawe na makazi ya kudumu wapelekewe shule kusoma (affimartive action), leo wanaamini wanamiliki arusha.hawa kweli sio wabantu..
 
wapelekewe shule kusoma (affimartive action), leo wanaamini wanamiliki arusha.hawa kweli sio wabantu..[/QUOTE] Full brown apartheid.
 
No wonder Mtikila alikua hana love kwa nyerere.....
Naamini kabisa haya maandiko....ofcourse naunga mkono hoja ya kusema JK sr alikua dikteta.
 
Basi inawezekana Mtikila aliuwawa na majasusi toka kwa kagemo
 
Jamani,mara kadhaa nimekuwa nikitafakari,hivi inakuwaje kanchi kama rwanda kuwa na mkwara mzito wa namna hii kwa tanzania?sasa,baada ya kupitia ripoti ya mchungajimtikila,ambayo hapo mwanzo sikuiamini sana,lakini sasa nimeiamini kwa kiwango fulani baada ya haya kutokea.

kumbe nchi tumeshawauzia watusi kwa kupenda rushwa zetu na uroho wa madaraka?unajua kuna wakati nilikuwa najiuliza,kuwa peter selukamba mbunge wa kigom ni mtutsi,na hii inajulikana kabisaaaaa.diwani wa gungu,mhe,john naye ni mtutsi,na nimtu wa karibu wa kikwete.halafu,mbona kwa mujibu wa ripoti hii,hata nyerere simuelewielewi!!!

sasa,fuatilia hii ripoti ya mtikila utapata ukweli wote,kisha nitaomba mnielimishe zaidi.HII DOCUMENT NI NDEFU,TAKRIBAN PAGE 12,LAKINI INA VITU VINGI NA INTERESTING KIASI AMBACHO,UKIANZA KUISOMA,INAISHA BILA WEWE KUJUA.NIMEIATTACH.PLEASE,PLEASE,PLEASE,READ AND COMMENT.
Huyo Mheshimiwa John ni yupi? Hebu fafanua tujue vizuri kama tumetawaliwa
 
Can some1 tell me the number of sodier does rwanda has? & uganda?
Nd now to go and say rwanda has sent 30,000strong man army! That is 3 baterian, does rwanda have men to spear nd send out? Nd how about uganda??? Which has less than 250,000 strong amry, so let us stop for a minute and reflect on this and subject it in imperical verification
Hebu tuache kuwa wazembe na kupiga kelele kuhusu jirani zetu, sisi tumejijenga vipi kuzuia hayo yote???
This my opion I stand to be collected - take it or live it

Habari ni habari mkuu huyo aliepenyezewa ana kitu anakijua labda mpaka kufikia hatua ya kutaja idadi na majina hebu fumba macho halafu angalia angani
 
Duuh yale magombe ya kule kagera huyaoni yalivyo tofauti na ngo'mbe wetu wa asili kwa pembe zao na ukubwa wao 😕😕😕😕😕😕
 
Can some1 tell me the number of sodier does rwanda has? & uganda?
Nd now to go and say rwanda has sent 30,000strong man army! That is 3 baterian, does rwanda have men to spear nd send out? Nd how about uganda??? Which has less than 250,000 strong amry, so let us stop for a minute and reflect on this and subject it in imperical verification
Hebu tuache kuwa wazembe na kupiga kelele kuhusu jirani zetu, sisi tumejijenga vipi kuzuia hayo yote???
This my opion I stand to be collected - take it or live it
Hivi unajua nchi ya eritrea kila mwananchi lazima afanye mafunzo ya jeshi . Sasa naomba usishangae kusikia watu elfu 30 kuingia tz kufanya uhalifu . Jibu ndio inawezekana
 
Back
Top Bottom