wambura marwa JF-Expert Member Joined Mar 7, 2015 Posts 2,172 Reaction score 1,128 Aug 8, 2016 #41 Uh hatari
kidadari JF-Expert Member Joined Jul 26, 2012 Posts 8,647 Reaction score 9,604 Aug 26, 2017 #42 hatuko salama kabisa hasa kwenye ugawaji hovyo wa ardhi na uraia kwa raia wa kigeni....Kagame na m7 wanataka sana ardhi yetu......
hatuko salama kabisa hasa kwenye ugawaji hovyo wa ardhi na uraia kwa raia wa kigeni....Kagame na m7 wanataka sana ardhi yetu......
Gama JF-Expert Member Joined Jan 9, 2010 Posts 13,265 Reaction score 4,735 Aug 26, 2017 #43 Jasusi said: Achana na Mtikila. Mke wake ni Mhutu na ripoti hii ameandikiwa na FDLR. Click to expand... Hata kama ingeandaliwa na shetani au malaika, sisi tunatazama authenticity ya content, ikiwa na mashiko tunaifanyia kazi kwa faida za vizazi vijavyo vya watanzania
Jasusi said: Achana na Mtikila. Mke wake ni Mhutu na ripoti hii ameandikiwa na FDLR. Click to expand... Hata kama ingeandaliwa na shetani au malaika, sisi tunatazama authenticity ya content, ikiwa na mashiko tunaifanyia kazi kwa faida za vizazi vijavyo vya watanzania
comrade igwe JF-Expert Member Joined Jan 12, 2015 Posts 7,295 Reaction score 3,950 Aug 26, 2017 #44 kambitza said: Awe mtusi, mjaluo, muhutu anastahili kuishi tanzania ili mradi awe amefuata sheria.. kuna mtanzania waziri kwenye serikali ya kagame. Click to expand... Prof Rwakabamba yuko wapi?
kambitza said: Awe mtusi, mjaluo, muhutu anastahili kuishi tanzania ili mradi awe amefuata sheria.. kuna mtanzania waziri kwenye serikali ya kagame. Click to expand... Prof Rwakabamba yuko wapi?