Muuza Kangala
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 1,242
- 4,813
Hahahaha mkuu ndiyo zile gari za mikate na juisi zilizo pata ajali ya kugongana nini?
Radi ya buku ni nomaaKAMNUNULIE RADI, KWANI SH NGAPI
naomba connection ya huko na mimi nimnunulie mtu radiRadi ya buku ni nomaa
Sahihi, wanawake ni vishetani vidogo dogo.....kunywa tu kangala lewa af sahau! ukisaidia ke unasaidia shetani usirudie tena
200 kwa 500 tuuKAMNUNULIE RADI, KWANI SH NGAPI