blogger
JF-Expert Member
- Mar 13, 2012
- 12,112
- 15,060
Pombe...Kangala ni nini?
Huku Iringa...
Ni pombe nzuri sana kwa wanaume ..inaongeza nguvu ..namaanisha nguvuuu..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pombe...Kangala ni nini?
Ooh ahsante, nlikua sijui maana yake....🤝Pombe...
Huku Iringa...
Ni pombe nzuri sana kwa wanaume ..inaongeza nguvu ..namaanisha nguvuuu..
Yes..karibia..Ooh ahsante, nlikua sijui maana yake....🤝
Inatengenezwa kwa kutumia nini? Na kwa mwanamke inaleta chochote?Yes..karibia..
Mwezi wa 9, 10...ndo miezi ya Kangala.
Utalii wa Pombe. Ila uje na ..namaanisha naa...🤣
30k tu na maelekezo ya jinsi ya kufyatua.KAMNUNULIE RADI, KWANI SH NGAPI
Naomba mtoa uzi asome uzi wako huu. mkuu nimeshuhudia vijana wezangu wakifukuzwa kazi kwa issue ndgo tu ila chanzo ni wanawake na mimi nilikuwa na waonya sana .Maana namimi nilionywa na kaka mKubwa aliyenipa connection ya kazi kwa company X Na ndivo ilivyo aseeManeo ya kazi ukitaka kuwa salama kaa mbali na wanawake na akitaka kitu mwambie hauna uwezo nacho
Pumba.. inachemshwa... Then inakamuliwaa...Inatengenezwa kwa kutumia nini? Na kwa mwanamke inaleta chochote?
I think it does..Inatengenezwa kwa kutumia nini? Na kwa mwanamke inaleta chochote..!?
hii picha inamaana gan
Fumbo mfumbie Mjinga km hujaelewa wewe ndio Mjinga hapohii picha inamaana gan
Naliwa na mkeo uliemuoa juzi hajakwambia ninavyompelekea motoUnaliwa ww??
unaleta taarabu hapa
mwanaume huwezi kua na taarabu namna hii!Naliwa na mkeo uliemuoa juzi hajakwambia ninavyompelekea moto
Mkeo hupendi akwambie nakupenda Sisi huku nje tunaona poa sana anasema nakupenda tunajibu huku tunamsuguliamwanaume huwezi kua na taarabu namna hii!
Kuna kitu hakipo sawa hapa
Jiunge na khadija kopa au mwijaku usichezee kipaji mkuuMkeo hupendi akwambie nakupenda Sisi huku nje tunaona poa sana anasema nakupenda tunajibu huku tunamsugulia
Nimeshamaliza mkuu au unataka nianze na 1Jiunge na khadija kopa au mwijaku usichezee kipaji mkuu
ushauri kuntu sana huu.Maneo ya kazi ukitaka kuwa salama kaa mbali na wanawake na akitaka kitu mwambie hauna uwezo nacho
500KAMNUNULIE RADI, KWANI SH NGAPI
Hata miminaomba connection ya huko na mimi nimnunulie mtu radi