Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23] Wanaangushia sanaa.. Chakula za wakubwaaa mkuu!! Kuna Matron flani aliajiriwa kambi flani nilikuwa kama Ngurutu aisee alikuwa mweupe mzuri balaaaa... Sasa sijui alifanya kosa gani akawekwa Mahabusu aliliaa balaaaa...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Maana mahabusu ilikuwa Getini tunapoingia kambini so tulimuonaa...nilishangaa snaaaKwa lugha ya kiaskari zaidi naomba niseme hiviiii
"serengeti jeshini ni morale tuuuu"
Inasemakana HivyoMgeni huwezi oa?