Desire Dizaya
JF-Expert Member
- Feb 16, 2015
- 6,476
- 11,659
Hivi kwanini jkt vijana wanazuiwa kuja na simu au kujipiga picha kama hivo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mdogo wangu kabisa ameolewa na Muisrael wanaishi Tel AvivTatizo Wanaoana Wenyewe Wa Huko Israel
Sawa SawaMdogo wangu kabisa ameolewa na Muisrael wanaishi Tel Aviv
Israel wanautaratibu mzuri sana, ukishamaliza elimu ya chini kabla ya kwenda elimu ya juu, unajiunga jeshini kwa mafunzo na kuna muda maalum unatumika ukimaliza unaendelea na elimu ya juu. ukitaka unaweza tena kurudi jeshini kuendelea na jeshi ama ukaendelea na mambo yako. Ndiko tulikotoa wazo la JKT.
Hahah mkuu kama mimi ndo sitaki kuamini kabisa!Hutu tudada Ndiyo tunapiga wanaume wote wa Arabuni na Uajemi!!!
Yaani hawa askari utadhani askari wetu wa JWTZ siku hizi, ni wazuri kweli kweli, utadhani huko jeshini wana kazi nyingine.
Yaani hawa askari utadhani askari wetu wa JWTZ siku hizi, ni wazuri kweli kweli, utadhani huko jeshini wana kazi nyingine.