Kumbe ndio wanajeshi wenyewe!?

Kumbe ndio wanajeshi wenyewe!?

.
bf2e1a517163ac8bc3dbe15b16b2526e.jpeg
6ac07eeb917a05913dd49a92e5a66279.jpeg
4affd7f7257502d85045148c5660e7c3.jpeg
e57b21761333f9caf45b6a2ada746d11.jpeg
a2d511a4a8aa47b633bbafd64600c894.jpeg
145946123c1dd32fec3d5ad38742eebd.jpeg
 
Israel wanautaratibu mzuri sana, ukishamaliza elimu ya chini kabla ya kwenda elimu ya juu, unajiunga jeshini kwa mafunzo na kuna muda maalum unatumika ukimaliza unaendelea na elimu ya juu. ukitaka unaweza tena kurudi jeshini kuendelea na jeshi ama ukaendelea na mambo yako. Ndiko tulikotoa wazo la JKT.
 
Sasa mbona kwetu sasahivi wanachagua baadhi tu ya shule?
Israel wanautaratibu mzuri sana, ukishamaliza elimu ya chini kabla ya kwenda elimu ya juu, unajiunga jeshini kwa mafunzo na kuna muda maalum unatumika ukimaliza unaendelea na elimu ya juu. ukitaka unaweza tena kurudi jeshini kuendelea na jeshi ama ukaendelea na mambo yako. Ndiko tulikotoa wazo la JKT.
 
Nyota yangu ya 3, nitaichukulia huko. Hahahaaa
 
Back
Top Bottom