Kumbe ndio wanajeshi wenyewe!?

Kumbe ndio wanajeshi wenyewe!?

.
97a9bdac017ffddb8faec388ed399183.jpeg
83afced268a8da6db69aab52bfe0b387.jpeg
e26f6eaf764b42bc9de7c9d947fa3bc1.jpeg
d3a877967d832addd3192997371eec99.jpeg
d3314e31a5ead51b4a1799ee536443b8.jpeg
d74339a0c0473eeb5ab8616655de2184.jpeg
 
[emoji23][emoji23][emoji23] Wanaangushia sanaa.. Chakula za wakubwaaa mkuu!! Kuna Matron flani aliajiriwa kambi flani nilikuwa kama Ngurutu aisee alikuwa mweupe mzuri balaaaa... Sasa sijui alifanya kosa gani akawekwa Mahabusu aliliaa balaaaa...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Maana mahabusu ilikuwa Getini tunapoingia kambini so tulimuonaa...nilishangaa snaaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nikisangaaaa!!

Moraletu hao(baadhi yao) ni moraletu kule mkuu, ila kimsingi ndo ilivyo
 
Umeutendea haki Uzi,si kwa mi picha picha hiyo....Ina maana Wa kwetu huku wanatisha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wa kwetu wengi vilaza, kuanzia yupo JKT mpaka anavaa gwandwa K inasuguliwa, akila kiapo mwili wote laini kama mlenda shenzy
 
Back
Top Bottom