Kumbe ndio wanajeshi wenyewe!?

Kwa lugha ya kiaskari zaidi naomba niseme hiviiii

"serengeti jeshini ni morale tuuuu"
[emoji23][emoji23][emoji23] Wanaangushia sanaa.. Chakula za wakubwaaa mkuu!! Kuna Matron flani aliajiriwa kambi flani nilikuwa kama Ngurutu aisee alikuwa mweupe mzuri balaaaa... Sasa sijui alifanya kosa gani akawekwa Mahabusu aliliaa balaaaa...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Maana mahabusu ilikuwa Getini tunapoingia kambini so tulimuonaa...nilishangaa snaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…