kumbe NELLY ushobokaji alianza zamani

kumbe NELLY ushobokaji alianza zamani

Chris brown anaweza kumpa namba ila badae ndomo akimpigie utasikia " Who the fu*k are u? Wenzetu kule huwez kuongea na wasanii kijinga jinga lazima upitie kwa manager, yan manager to manager talks, sasa ndom kama kaweza kubahatika kupata na namba bas ana nyota

We Jamaa Bwana, Ujakosea Ata Kidogo Atachezea Matusi Ya Nguvu.
 
sabasita mkuu uko vizuri sana kuna thread nyingi umu ndani unaziokoa kwa vitendo bravo swahiba mpaka wataelewa bila kutumia fimbo.
 
Last edited by a moderator:
Inaweza kuta mother ake ni Mdengereko wa mafia.
 
Wat wanamfagilia dimondo bila kujijua! Hongera mtoa mada kwa
Kutuapdate na maisha ya dimondo! Tumekuelewa
 
Fasihi kama almasi; inabalikika rangi kwa kila inapogeuzwa. Mleta mada kachemka baaasi. Labda kama anaamanisha alichoandika, kwa hiyo katika uchambuzi tunasema msanii hajafaulu.
 
Back
Top Bottom