georgemwaipungu
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 2,779
- 589
Nafikiri mtoa mada amesema kwamba ameona picha zimebandikwa kwenye jengo la klabu ya Yanga sio kwenye nyumba ya mshabiki wa Yanga. Yanga haipaswi kuwa na ushabiki wa kisiasa, ila washabiki, wapenzi na wanachama kila mmoja kwa utashi wake anaweza kuwa mshabiki wa chama chochote cha siasa. Lakini inawezekana hizo picha hazina uhusiano wowote na Yanga, zimebandikwa kama zinavyoweza kubandikwa sehemu nyingine yeyote.
Hii NCHI inaendeshwa na mfumo WA chama kimoja tu ccm hivyo vingine ni kiini macho tu .najua mtapinga lkn mtajua tu Tareh ikifika.
Timu ya Mkwere na Mwanae Ridhimoko kama hamuamini kamuulize Kifukwe.
Mkwere na Mwanaye hawajazaliwa, Yanga ipo na itadumu milele hadi siku ya kiama.
Hadudanganyiki; Yanga Mbele Daima Nyuma Mikia.
Ingekuwa hivyo basi Ridhimoko asinge iamulia Yanga kiongozi.
Hivi kifukwe aliishia wapi kwenye uongozi?
Wewe mikia mambo ya Yanga waachie wana Yanga wenyewe, kauguze majeraha ya kipigo cha Busungu na Tambwe. Kama unachukia CCM andaa 'kichinjio' chako na uwahi foleni Oktoba 25. Yanga itabaki kuwa Yanga daima.
Ila mujue kuwa mnapoteza washabiki vile vile msitegemee kupata fedha zao
Hakuna shabiki wa ukweli anayehama timu, ukiona hivyo wewe ni shabiki uchwara. Kuhama timu ni sawa na kukataa makalio yako mwenyewe kwa madai kuwa katikati yake kuna tundu chafu linalotoa kinyesi! Fahamu kuwa kwa kila shabiki mmoja uchwara anayeihama Yanga kuna mashabiki 1000 wa ukweli wanazaliwa siku hiyo hiyo. Aliondoka Steve Yanga haikutetereka sembuse wewe georgemwaipungu! Nenda mikia nenda, nenda usiogope.
Yanga badilisheni rangi ya jezi zenu na rangi ya jengo lenu. mnatuboa sana mashabiki wenu tunapoona mirangi ya kijani na njano. Tafuteni rangi zinginezo neutral kabisa mbali na rangi za chama chochote cha siasa.
Yanga badilisheni rangi ya jezi zenu na rangi ya jengo lenu. mnatuboa sana mashabiki wenu tunapoona mirangi ya kijani na njano. Tafuteni rangi zinginezo neutral kabisa mbali na rangi za chama chochote cha siasa.
Wekeni mambo ya mpira na siasa mbali kabisa. Wana Yanga kama walivyo wana Simba wana vyama vyao tofauti lakini kwenye mpira ni wamoja kwa timu zao.
Kuna watu tupo pamoja kwenye Jukwaa la michezo lakini tukiingia Jukwaa la siasa ni mbingu na nchi.
Hiyo ndiyo chumvi ya maisha.
Kwani ww unashabikia timu ikiwa uwanjani au inapokuwa mlangoni kwao?!...kama unaona vp si uhamie majimaji we vp?...hiyo picha ya mlangoni na Hiyo picha ya mgosi ipi inaonekana na wengi...hebu bandua hiyo picha ya mgosi hapo juu ka utaweza