Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 17,694
- 17,131
Kuwa makini na wachawi.Tutaona mengi mwaka huuππ€
Wewe unawajua mkuuπ, maanake mimi sijawahi kuwaona eti π€π€Kuwa makini na wachawi.
Niwajulie wapi!Ni kushonesha kaptula za mabati ili wachawi wakawie au kushindwa kufikia nyeti.Hamna namna!Wewe unawajua mkuuπ, maanake mimi sijawahi kuwaona eti π€π€
Ni nikonekt na uyo jamaa. nataka niende ulaya.kuendeshea ndege yake usiku kama usukani, kusafiri kwenda ulaya
HahahππππNiwajulie wapi!Ni kushonesha kaptula za mabati ili wachawi wakawie au kushindwa kufikia nyeti.Hamna namna!
Na wewe NI mpenzi mtazamaji mwaminifu WA vipindi vyanguStori zako huwa ni kama vipindi vya futuhi na "stelingi" ni wewe mwenyewe.π€
Na badoTutaona mengi mwaka huuππ€
Usisahau Ku subscribe like comment na kushea Kwa wengineπ€wewe ni mburudishaji
Sauwa bossNi nikonekt na uyo jamaa. nataka niende ulaya.
Dyu dyu NI uskani WA mchawiπ³
Kwakweli ππNa bado
πΆπΆπΆKwakweli ππ
Hata kwetu bibi JIRANI yetu,naye humfanyia hivyo mtoto wake wa kiumeKuna mwamba hapa amekamatwa, ni mchawi
Anasema kuwa yeye hutumia mguu WA kiume kuendeshea ndege yake ya usiku ya ungo kwenda kuwanga
Dah ila wanaume jamaan poleni Sana
Mnalia Lia hamna nguvu za kiume kumbe mchawi anazitumia kuendeshea ndege yake usiku kama usukani, kusafiri kwenda ulaya
So nguvu za kiume haziishi kwasababu mnashindia chips au mahindi ya kuchoma na ndimu, kumbe Wana mnachaupwaaaaa vibaya mno
Poleni Sana ila Muombe Sana Mungu, shetani mshenzi kweli kweli