covid 19
JF-Expert Member
- May 9, 2014
- 6,967
- 17,452
Hakika waswahili hawakukosea waliposema mmzaniaye ndiye kumbe siye, maisha yangu yote sikuwahi kudhani au kuwaza kuwa mwanamke anaweza kusimamia vitu vikaenda sawa sawa bila kasoro.
Ila kwa kinachoendelea sasa hakika wanaume tunaona aibu kwakeli tumetawala hii nchi kwa miaka 60 lakini huyu mama ametawala kwa siku 100 tu na ameonesha uwezo mkubwa sana wa kiutawala.
Yaani kwa sasa mama anafanya mambo mpaka unafurahi nchi imekaa kwenye mstari vizuri sana, yanayofanywa na mwanamama huyu yanahitaji pongezi, nakiri kwamba toka tupate uhuru huyu rais wetu pekee mwanamke anatufundisha namna mwanamke anavyoweza kuwa hazina kwenye uongozi yaani nchi inasimamiwa na mwanamke na inakaa sawa kabisa.
Kuanzia leo wanawake nitakuwa nawatilia maanani sana hasa kwenye utawala na uongozi.
Kakikaka wanawake Mungu awabariki na hongerenii saana.
Ila kwa kinachoendelea sasa hakika wanaume tunaona aibu kwakeli tumetawala hii nchi kwa miaka 60 lakini huyu mama ametawala kwa siku 100 tu na ameonesha uwezo mkubwa sana wa kiutawala.
Yaani kwa sasa mama anafanya mambo mpaka unafurahi nchi imekaa kwenye mstari vizuri sana, yanayofanywa na mwanamama huyu yanahitaji pongezi, nakiri kwamba toka tupate uhuru huyu rais wetu pekee mwanamke anatufundisha namna mwanamke anavyoweza kuwa hazina kwenye uongozi yaani nchi inasimamiwa na mwanamke na inakaa sawa kabisa.
Kuanzia leo wanawake nitakuwa nawatilia maanani sana hasa kwenye utawala na uongozi.
Kakikaka wanawake Mungu awabariki na hongerenii saana.