Mkaruka
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 19,629
- 34,199
Uingereza imetawala dunia ikiwa chini ya malikia kama sikosei. Cc Sky Eclathiyo historia y wapi wanawake ni viongoz iko wapi? acha kupotosha jamii, mwanamke kaumbwa kuzaa,kutunza na kulea familia tu, sio kuongoza group la watu wakiwepo wanaume, ndiomaana viongz weng wa kike wanakosa confidence na maamuzi magumu maana hawana haiba ya kuongozs bali kuongozwa, rudi chekechea ukasome upya history