MAKANGEMBUZI
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 2,670
- 7,655
Yupo hapa ndio mwenyekiti wa mdahalo wetu.Covid-19 🐼
Yupo Bavicha japo ni mke na mama wa watoto Wawili
UVCCM ni Wadogo Wadogo watupu 😄
Yupo hapa anajinadi ila siasa kweli ni kujua kuchoronga mdomoKwani na yeye ni kijana?
Nimeliona lile limoja jana kwenye tigo pesa ni baya kama nn
Nasubiri pilau tu hapa.Siku tutakapoacha ulaghai na utapeli ndio tutaianza safari yetu ya kimaendeleo ya kweli
Kitenge ni Marioo fulani hivi kuna jimama linamlea ndiyo lilipiga bit hiyo ndoaMke wa Maulid Kitenge ndoa iliyodumu kwa wiki moja tu.
Sijui Kitenge alikutana na nini hapo kati hadi atimue mbio mapema hivyo.
Kumbe Mh.Nusrat Hanje aliliaza mshale kwenye hii ndoa?Kitenge ni Marioo fulani hivi kuna jimama linamlea ndiyo lilipiga bit hiyo ndoa
Ahamie ccm mara ngapi mkuu?Nipo kwenye mdahalo wa kitaifa wa vijana kuhusu miaka mitatu ya Raisi Samia Hassan na utekelezaji wa ajenda za vijana ......huu mdahalo umeandaliwa na Huyu Mbunge wa viti maalum Nusrat Hanje,mgeni rasmi akiwa PM Majaliwa
Nimeshangaa hapa anajitambulisha anatoka CHADEMA.
Ila ubunge unalipa kama hii events yote kaiandaa yeye ingawaje wahudhuriaji wengi ni sisi wanachuo tunatumika bila kujua.
Kinachoendelea hapa ni uchawa na unyuki wa kiwango cha SGR
Mytake:Heko kwako Mh Nusrat Hanje naona unandaa mazingira ya mwakani ukihamia CCM rasmi uendelee kuramba asali.View attachment 2998833
Tanzania bila ya ulaghai hatuwezi kusongaSiku tutakapoacha ulaghai na utapeli ndio tutaianza safari yetu ya kimaendeleo ya kweli
Hawana sura wala kitu gani,zaidi ya kuwa kiburudishoKwani na yeye ni kijana?
Nimeliona lile limoja jana kwenye tigo pesa ni baya kama nn
Angekuoa wewe ili utulizaneMke wa Maulid Kitenge ndoa iliyodumu kwa wiki moja tu.
Sijui Kitenge alikutana na nini hapo kati hadi atimue mbio mapema hivyo.
Muimbieni kawimbo ka covid,covid,covidYupo hapa ndio mwenyekiti wa mdahalo wetu.
Vilevile lazima asiwe mchoyoYupo hapa anajinadi ila siasa kweli ni kujua kuchoronga mdomo
Wale covid-19 wote ni wanachama hai wa CCMNipo kwenye mdahalo wa kitaifa wa vijana kuhusu miaka mitatu ya Raisi Samia Hassan na utekelezaji wa ajenda za vijana ......huu mdahalo umeandaliwa na Huyu Mbunge wa viti maalum Nusrat Hanje,mgeni rasmi akiwa PM Majaliwa
Nimeshangaa hapa anajitambulisha anatoka CHADEMA.
Ila ubunge unalipa kama hii events yote kaiandaa yeye ingawaje wahudhuriaji wengi ni sisi wanachuo tunatumika bila kujua.
Kinachoendelea hapa ni uchawa na unyuki wa kiwango cha SGR
Mytake:Heko kwako Mh Nusrat Hanje naona unandaa mazingira ya mwakani ukihamia CCM rasmi uendelee kuramba asali.View attachment 2998833
Maigizo ya TuliaCovid-19 🐼
Yupo Bavicha japo ni mke na mama wa watoto Wawili
UVCCM ni Wadogo Wadogo watupu 😄