kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 18,833
- 23,276
Kadi yake namba ngapi wacha udaku huyo ni mbunge vit maalumu chadema!Ahamie ccm mara ngapi mkuu?
Tayari yupo ccm kitambo huyo hayo mengine ni maneno ya kuficha aibu tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kadi yake namba ngapi wacha udaku huyo ni mbunge vit maalumu chadema!Ahamie ccm mara ngapi mkuu?
Tayari yupo ccm kitambo huyo hayo mengine ni maneno ya kuficha aibu tu
Nipo kwenye mdahalo wa kitaifa wa vijana kuhusu miaka mitatu ya Raisi Samia Hassan na utekelezaji wa ajenda za vijana ......huu mdahalo umeandaliwa na Huyu Mbunge wa viti maalum Nusrat Hanje,mgeni rasmi akiwa PM Majaliwa
Nimeshangaa hapa anajitambulisha anatoka CHADEMA.
Ila ubunge unalipa kama hii events yote kaiandaa yeye ingawaje wahudhuriaji wengi ni sisi wanachuo tunatumika bila kujua.
Kinachoendelea hapa ni uchawa na unyuki wa kiwango cha SGR
Mytake:Heko kwako Mh Nusrat Hanje naona unandaa mazingira ya mwakani ukihamia CCM rasmi uendelee kuramba asali.View attachment 2998833