Hasa pale anaposema ..."nitomase zake chuchu..."
Ngwea alikuwa mnyama sana katika utunzi, flow, mashairi, na hata kimwonekano aliuishi kimwanamuziki!
sana aliitendea hakiUko vizuri sana ule wimbo, hauna kasoro kuanzia beats mpaka mashairi!
Ludigo yupoKama huyu LUDIGO alifanya ngoma nyingi sana za wagosi, ila nimejaribu kumtafuta kwenye mitandao nimemkosa kabisa aiseee
Sent using Jamii Forums mobile app
Me chorus na pale yule mwengine ana flow
Hata wewe you got a gwan bila shaka!sana aliitendea haki
Kawaida sana ....Ndio maana ya kua mtayarishaji bora wa muziki, lazima tushirikishane.. P funk alimtumia sana Bizman kwenye gitaa na kinanda
Sent using Jamii Forums mobile app
dre alivyoondoka NWA eazy e alilia..na huko alikoenda hakwenda na huyo uliyemsema..na hata sony wamedeal na dre huyo unayemsema hayupo...Hata Dre anafanya kazi kwa mtindo huo,kazi zake nyingi nyuma ya pazia anayezifanya Ni Scott storch
Sent using Jamii Forums mobile app
dark master wa napamiss homeHahaha jina lake limenitoka ni muda kidogo, furahi ndugu yangu uongeze siku za kuishi
Naomba kama una nyimbo alizounda Producer Lamar wa FishCrab, Nmetafuta mtandaoni bila mafanikio hasa zile za kitambo sana..."She Got A Gwan" inamaanisha "She Got It Goin On" yaani demu yuko bomba kila idara.
Sent using Jamii Forums mobile app
lamar nae ana ngoma za kitambo sana!!!!?Naomba kama una nyimbo alizounda Producer Lamar wa FishCrab, Nmetafuta mtandaoni bila mafanikio hasa zile za kitambo sana...
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii nyimbo huwa nikiisikiliza huwa napata mzuka flani hivi wa ajabu wa kuzidi kupenda muziki wa Ngwea zaidi... Hata ile "Gheto Langu" na "Mikasi" ni mikwaju mikali sana... Miaka ya 2000 hii ngoma ya Ngwea ya "Mikasi" ilishagawahi pigwa sana redio moja hivi ya kule nchini England na DJ mmoja hivi anaitwa Frank kwenye Radio Show zake...Ule mdundo kicks na drums kazigonga Soggy Doggy.
Gitaa kalipiga mzungu kichaa
na piano kaipiga jamaa mwingine kabisa.
Tena Pfunk alikuta soggy na mzungu kichaa washafanya yao akaiona kali akamwita jamaa aje aweke piano.
Sema credits zilienda kwake P-funk kama producer mkuu
Hao ya joh makini kamtaja ludigo kwenye verse kuwa ndio mtengenezajiTatizo ni credit kwenda kwa Mj au Majani kipindi anapiga kazi studio zao... Hata nyimbo ya Mikasi ya Ngwair, Akwelina ya OCG na Hao ya Joh Makini ni kazi zake ingawa credit haziendi kwake.
Sio scott storch pekee,dre alikuwa ana ensemble ya producers,kila mmoja akiwa na shuhuli yake.Ni sawa na mpishi mkuu wa hotel,au nahodha wa meli,si lazima awe ashike usukani yeye.Hata Dre anafanya kazi kwa mtindo huo,kazi zake nyingi nyuma ya pazia anayezifanya Ni Scott storch
Sent using Jamii Forums mobile app
Safi, lakini ngoma nyingi za bongo napiga sana tu, jana nimepiga Hadithi ya Nacha. comments ni Ve+Hii nyimbo huwa nikiisikiliza huwa napata mzuka flani hivi wa ajabu wa kuzidi kupenda muziki wa Ngwea zaidi... Hata ile "Gheto Langu" na "Mikasi" ni mikwaju mikali sana... Miaka ya 2000 hii ngoma ya Ngwea ya "Mikasi" ilishagawahi pigwa sana redio moja hivi ya kule nchini England na DJ mmoja hivi anaitwa Frank kwenye Radio Show zake...
Sent using Jamii Forums mobile app