Kumbe P-Funk siye aliyetengeneza mdundo wa She Got a Gwan

Kumbe P-Funk siye aliyetengeneza mdundo wa She Got a Gwan

Muziki ndiyo ulivyo, na ukitaka muziki bora basi washilikiane watayarishaji wengi. Maana mmoja mzuri kweli beats, mwingine kicks mwingine mastering, mwingine anavyo-compose

Na ukifuatalia muziki ulitengenezwa na watu wawili kuendelea lazima uvume haswa.
 
Ule mdundo kicks na drums kazigonga Soggy Doggy.
Gitaa kalipiga mzungu kichaa
na piano kaipiga jamaa mwingine kabisa.
Tena Pfunk alikuta soggy na mzungu kichaa washafanya yao akaiona kali akamwita jamaa aje aweke piano.
Sema credits zilienda kwake P-funk kama producer mkuu
Hii nyimbo huwa nikiisikiliza huwa napata mzuka flani hivi wa ajabu wa kuzidi kupenda muziki wa Ngwea zaidi... Hata ile "Gheto Langu" na "Mikasi" ni mikwaju mikali sana... Miaka ya 2000 hii ngoma ya Ngwea ya "Mikasi" ilishagawahi pigwa sana redio moja hivi ya kule nchini England na DJ mmoja hivi anaitwa Frank kwenye Radio Show zake...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii nyimbo huwa nikiisikiliza huwa napata mzuka flani hivi wa ajabu wa kuzidi kupenda muziki wa Ngwea zaidi... Hata ile "Gheto Langu" na "Mikasi" ni mikwaju mikali sana... Miaka ya 2000 hii ngoma ya Ngwea ya "Mikasi" ilishagawahi pigwa sana redio moja hivi ya kule nchini England na DJ mmoja hivi anaitwa Frank kwenye Radio Show zake...

Sent using Jamii Forums mobile app
Safi, lakini ngoma nyingi za bongo napiga sana tu, jana nimepiga Hadithi ya Nacha. comments ni Ve+
 
Back
Top Bottom